Hivi Waganda wana tatizo gani?

Hivi kuna Mtanzania hafahamu lugha yake ya asili au ni ile umetype tu ili uonekane na wewe umetype.
Unajua humu ukishawachana ukwel wanatoka kwenye mada wanaanza kubishana sasa unawakubalia tu ndio Mimi siijui lugha Yangu unaijua wewe bc
 
Nimeelewa kilichomlazimu Mw.JKN kulilazimisha lugha moja( Kiswahili) happy bongo.
 
Kwa miezi kadhaa niliyoishi Uganda, I beg to differ with you, Waganda wanapapenda sana Tanzania.
 
Kwa miezi kadhaa niliyoishi Uganda, I beg to differ with you, Waganda wanapapenda sana Tanzania.
Baganda hawapendi Kiswahili jaribu kuchunguza! Watakupa sababu za kijinga kwa vile wanajeshi wa Uganda esp. Amin wakikuwa wanatumia Kiswahili. Wakati Kiswahili ni lugha ya jeshi tangu kipindi cha mkoloni!
 
Huwa wanatabia ya kujisikia saana na hawakipendi kiswahili kbsa ila binafsi sijui kinachowafanya wajickie ni nini maana kwa east africa wako nyuma kuanzia maendeleo hadi uzuri wa sura watu wengi huwa wanawacheka tu na kuwaangalia.I dnt know what are they proud off!
 
Waganda kwa kiasi fulani wanafanana na wale ndugu zetu wa Kagera.
 
Kwa nini Waganda siyo wengi JamiiForums au hawafahamu kuwa kuna JF inayozungumzia maswala ya Afrika Mashariki, tatizo nini maana hapa EA news hata Kingereza kinatumika?

Ni ajabu Litanzania limoja kudhani dunia nzima nilazima wajue Kiswahili na waje JF kuongea na Watanzania na Wakenya!

Wa east africa ni lazima waijue JF....what the fvck is JF?

JF unaijua wewe na baadhi ya Wakenya kadhaa,sio obligation ya east africa nzima kuijua JF!

Waganda wana platforms zao kama KLA Chat nk,waijue JF waipeleke wapi?

Kama ni lazima,mbona Rwanda,Burundi na South Sudan huzilalamikii?

JF ni kidude kidogo tu EA!

Watu wana tamaduni mbalimbali na muingiliano mbalimbali

Uganda iko more closer na Rwanda,DRC na South Sudan,sio lazima wajipendekeze na Tanzania ndio waonekane

Una matatizo ya cultural supremacy,unadhani the whole world should bend towards Tanzania!

Yaani upo in your own chamber na unadhani hiyo chamber ni centre of the world!

Eti JF,eti Tanzania,nchi zingine lazima wawafuate,nenda duniani huko ndio utajua kwenye hii dunia where you come from ni the bottom of the toilet!
 
Nani kakushika matako?
 
Hizo ni hoja au viloja
Wenzako wanakungoja milembe
Wakakujibu you not alone

“Viloja” ndio mavi gani?

Kiswahili hujui,Kingereza hujui halafu upo humu kutukana watu?

Nenda improve your communications skills halafu ndio ulete matako hapa!

Mimi wa Mirembe halafu hapo hapo unakaa hapa kubishana na mtu huyo huyo wa Mirembe?

Nani atajua difference yako na mimi wa Mirembe?

Again:

Viloja=Viroja

Milembe=Mirembe

Kiswahili chako kiko ICU aisee!
 
No one pay me for speak good English or good Swahili big ass

Hahahaa

Kama unatakiwa kuongea lugha fulani kwa ufasaha kwa kulipwa pesa basi utakua kichaa wewe!

Tunatumia lugha kama tool ya communications kuturahisishia maelewano baina yetu na watu wanaozungumza lugha hiyo!

Na hatuna budi kua fasaha!

Hujui Kiswahili wala hujui Kingereza!

Kwavile upo poor in those languages then umegeuka kuwachukia wanaojua ili ku compensate your ego for not knowing!

Mimi big ass,wewe small ass,we are all still asses!

Mavi makubwa na mavi madogo yote mavi!

Hii nchi sijui tutaweza nini aisee!
 
Mm najitosheleza napata elfu 55000 Kwa siku wewe na kingereza chako kimekusaidia nini uenda unategemea mshahara wa serikali

Unacheck sasa?

You have gone total monkey see monkey do!

Total ape shit!

Plus sipo hapa kushindana na low league earners kama wewe!

Yaani 55,000/= kwa siku then unaongea?

Come to the big leagues!

Once you hit 1mil Usd earnings,come talk shit here!
 
Hongera rodi rofa mm kwangu lugha pekee ninayo thamini ni lugha ya logic basi mambo ya R L H kuchanganya siyo kitu cha msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…