Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Tukijenga famili zetu vizuri, huo ushoga hautokaa utokee.Tafiti sirikalini zinasema ushoga na usagaji, ubakaji asilimia kubwa waathiriwa hufanyiwa na member wa familia au Watu wa karibu. Kwaiyo kabla ya kuitwisha serikali mzigo wa kukunja samaki aliye kauka, tungeongeza ufuatiliaji wa karibu wa mabinti na vijana wetu, tunaishi kwenye zama ambazo ni hatari sana kuacha Watu Baki wakulele mtoto/watoto wako.
open up your mind gentleman,Wewe vp mbona hueleweki??
Kazi hiyo si ya kilamtu unataka uwaachie viongozi wa chadema?
maana yake unataka kuwasemea kwamba,Kwani hao viongozi Ndio watakuletea Mabasha kwa mtutu wa bunduki?
Yaaani wewe binafsi umejianaaje? πΌ
DuhGentleman,
sasa hii akili mingi ambayo niko nayo, yenye masuala na maswali mengi ya Kitaifa na kimatafa kwa faida ya wananchi, nitamuachia nani na mimi si muchoyo wa maaraifa, utaalamu na ujuzi ambae pia ni mwepesi wa kutoa mawazo mapya na fikra mbadala kwaajili ya kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau wa JF kuhusu mambo haya ya kisiasa hususani kuelekea uchuguzi wa chadema Taifa?
nachokaje kwa mfano,
wakati mambo haya nayafanya kwa Neema na Baraka za Mungu?π
Kiwanda cha sanaa na media nyingi bongo zina mashoga na wana support mambo hayomaana yake unataka kuwasemea kwamba,
completely hao wagombea hususani vibaraka wa mabenyenye ya magharibi hawana kabisa mipango mikakati ya kupambana na kutokomeza rushwa na ufisadi, ushoga, utoaji mimba na usagaji, ukimwi, ugaidi n.k. right?
au hizo changamoto hazipo ndani wala nje ya chadema Tanzania na nje ya Tanzania π
hilo ni muhimu sana,Tukijenga famili zetu vizuri, huo ushoga hautokaa utokee.
Ila ndio hivyo, sisi ni mahodari wa kunyooshea vidole familia nyingine wakati zetu huku hatujui nini kinaendelea.
Inahuzunisha sana kusikia ndgu yako kawa punga.
so gentleman,Hiyo ni kazi ya Serikali ambako nasikia wamejaa kwenye ngazi mbali mbali! Makonda alipotaka kulivalia njuga na Wazungu walipoanza kuwa wakali na kutishia kutunyima misaada Serikali ya Mwendazake ilimruka tena na kusema huo siyo msimamo wa serikali.
Gentleman,Waliounda serikali ni cdm? Uchawa unakusumbua. Tafuta shughuli halali za kufanya, unaweza kuta hata ww ni sh..ga tu
Gentleman,Sio vipeumbele vyao hizo tabia
Haya maswala ya kitaifa mbona 24/7 ni kuhusu CHADEMA! ? Au CHADEMA ndio Taifa lenyewe?Gentleman,
sasa hii akili mingi ambayo niko nayo, yenye masuala na maswali mengi ya Kitaifa na kimatafa kwa faida ya wananchi, nitamuachia nani na mimi si muchoyo wa maaraifa, utaalamu na ujuzi ambae pia ni mwepesi wa kutoa mawazo mapya na fikra mbadala kwaajili ya kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau wa JF kuhusu mambo haya ya kisiasa hususani kuelekea uchuguzi wa chadema Taifa?
nachokaje kwa mfano,
wakati mambo haya nayafanya kwa Neema na Baraka za Mungu?π
Samia na CCM wamezuia ushoga kuenea nchini kwa kiasi gani au wao ndio wametengeneza mazingira ya kustawi zaidi?Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..
Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?
au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?
kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?π
Mungu Ibariki Tanzania.
Gentleman,Samia na CCM wamezuia ushoga kuenea nchini kwa kiasi gani au wao ndio wametengeneza mazingira ya kustawi zaidi?
kitaalamu,Haya maswala ya kitaifa mbona 24/7 ni kuhusu CHADEMA! ? Au CHADEMA ndio Taifa lenyewe?View attachment 3199391