Hivi wakati mwingine huwa tunalaumu wanaume pasipo kujua?

Hivi wakati mwingine huwa tunalaumu wanaume pasipo kujua?

...Amen, amen 1stLady, pheeewwww!

unajua haya mambo sio hawa housemaids peke yao,
hata huko 'nyumba ndogo' unadhani inakuwaje?
Wanatuloga kweli hawa watu... heri tu mtuombee enyi wake zetu wapendwa.

Angalia IMF chief Dominique Strauss-Kahn nae alivyoponzeka maskini,
arrrghhhh,....huu uchawi umeenea sana duniani!

Sikatai FirstLady1 kashauri wanaume kuombewa. Na nyie wanaume muwe mnajiombea kupambana na vishawishi. Unakuta unamuombea mtu halafu anakuambiwa shetani kampitia. Agrrr!!

Kunguru hafugiki🙂) ha ha ha

IMF chief siyo uchawi jamani, lol..tamaa za mwili!!
 
Kwa kweli mie inabidi tu niwe nae siwezi ku keep vizuri nyumba yote mwenyewe, la sivo niache kazi nifanye kazi.Kuna vimambo vingine unakuwa unamsimamia na mambo yanaenda sawa. Nashukuru Mungu haijanitokea
 
Mpenzi hio imagination tu inanifanya niwe na hasiraaa ile mbayaaaaa........ Niseme tu ukweli hapa FL1 - sielewi nitakafanya nini hako kabinti.... kweli sijui dear.... Mana nikiangalia upande wake ni kua she is young (mara nyingi hua hivyo) na anaoneka kalelewa katika malezi ya kuonesha she has to do anything to steal a man... tatizo liko sana kwa mamake... sijui niseme kwa bibi yake... mana tabia hizi za ushirikina zipo kurithishana for inakua controlled na imani...

But all in all .... Sijui nitamfanya nini huyo binti,,,, kweli sijui..... Ndo maana FL1 my man will be taken care by me! me! me! in my home... Bcoz I try my best by doing what i think is best... Mi mvumilivu na napenda ku-reason-Hivyo hunipa nafasi kua mwanaume anaponitubua hakuna la ziada ninaloweza fanya ili nimfurahishe.... akileta upuuzi usiokua na msingi wala hauteteki....SIMTAKI TENA.... (naona natoka tena off topic)

bila msaada wa mumeo hakuna kitu hapo, unaweza kujitutuma we kumbe mwnaume ana ulafi wake, mlafi ni mlafi tu hata ujitutume kivipi, ni kuomba Mungu sana., we unaweza kuona unafanya kila kitu kwake but mwenzio tamaa zinamsumbua na ana nia ya kufanya na atafanya tu kutimiza matakwa yake, nyie hizi ndoa zioneni hivyo hivyo tu.
 
Kwa hali hii kuna haja ya kua mnawapeleka wasichana wa kwenye maombezi na kuchunguza familia zao kidogo kabla hamjawakabizi mamlaka ya kuangalia familia zenu!!

Ila kama alivyoelezea partner wangu hapo juu jaribuni na jitahidini sana contact kati ya baba mwenye nyumba na dada wa kazi yawe minimum!!!Maana ikiwa hivyo hata kwa hizo tinguli na madawa msichana hatapata mwanya wa kumchanganyia mumeo.Hata mlango wa chumba chenu ikibidi unafunga mpaka mtakaporudi kwahiyo kama aliambiwa awaekee chini ya godoro anakosa mwanya....usafi unafanya mwenyewe
weekend....chakula unajitahidi kupika kila unapoweza msije mkalishwa vitu vya ajabu ajabu!!!

Mama wa kwanza kweli wakati mwingine inaweza kutokea isiwe mwanaume wala mwanamke mwenye kosa....ongezeni maombi wamama!!!!

kama kuna imani na hizo dawa, huko nje hawezi kuwekewa na kimada au cz hapa amemkuta nazo live?....
 
Hapo sikuungi mkono, kuna vitu ambavyo ndani ya nyumba haviepukiki hata kama utakua mke mzuri kwa mumeo na maanisha unafanya kila kitu. Mfano uko kazini ukamwambia dada uspike ntakuja kupika then ikatokea na mifoleni isiyoeleweka utaacha watoto na baba yao walale na njaa mpaka urudi? Au umesafiri kikakazi siku tatu tu, utamwambia mumeo ale hotel mpaka urudi? Ukiwepo sawa unaweza fanya vyote lakini bado tu kunavitu utakuta dada kavifanya bila kuagizwa, mfano mume anaweza muomba dada maji ya kunywa haupo hapo unazuiaje labda. Kumbuka wachawi huwa wana act wazuri sana na wapole wenye adabu tele, tena anakuanzia wewe mwenyewe anakupiga limbwata unampendaa na unamwamini kuliko ndugu yako pengine hata huyo mume, akiku win wewe, sasa hapo ndo anamaliza mambo yake yalo mleta. Cha muhim hapo nikumshirikisha mungu tu ili unapopata msichana wa kazi awe anamjua mungu pia. Thanks.


nina frnd wangu, ikifikia hapo mtoto/hgal anawahamishia kwa mama yake mpaka atakaporudi, baba ndio muda wake wa kula manyama choma bar, ni kuumiza kichwa mtindo mmoja ukiwa na wazo la kumchunga mwanaume, nashukuru cjawahi kuwa na h/g haya mambo ya kidunia nayo yana wenyewe angenikosesha amani sana binti kama huyu.
 
bila msaada wa mumeo hakuna kitu hapo, unaweza kujitutuma we kumbe mwnaume ana ulafi wake, mlafi ni mlafi tu hata ujitutume kivipi, ni kuomba Mungu sana., we unaweza kuona unafanya kila kitu kwake but mwenzio tamaa zinamsumbua na ana nia ya kufanya na atafanya tu kutimiza matakwa yake, nyie hizi ndoa zioneni hivyo hivyo tu.
Ni kuomba tu Mungu aepushe, sijioni kabisa bila wasaidizi
 
Wadada wa kazi wanavisa jamani...my wyf stil anasoma chuo kikuu flan hapa nchini na yuko third year and this is her last semista. Yuko na mtoto wetu ambaye ana miezi tisa sasa na nimewapangishia chumba pembeni kidogo ya chuo. Mdada anaemsaidia kazi na kumtunza mtoto pind awapo chuo ana visa vyake balaa. Majuzi mama mtoto pindi anaondoka kwenda chuo mtoto alikuwa anamlilia but [SIZE=+0]ilimbidi aende na mwana kubakia na dada wa kazi. Mama mtu alitoka nje ya nyumba kwenda chuo but alichungulia dirishani kuona kama bado mtoto analia. Alichokishuhudia ilibidi aghairi hata kwenda kwenye kipindi. Alimuona dada wa kazi anampa mtoto ziwa lake anyonye (sijui kumnyamazisha au alikuwa na maana gani?) Nikajiuliza magonjwa anayoweza kumwabukiza mtoto even na sisi wazazi wake pia na athari zingine....Baada ya kupewa habari hiyo kwa kweli stil nafikiria maamuzi ya kutoa .....na ikiwezekana ndio tabia yake huyo beki tu kila mama mtoto awapo chuo anampa hiyo maneno. Je nimfukuze au apewe karipio kali ? Nataka nikampime pia na mtoto hospitali...[/SIZE]
 
Wadada wa kazi wanavisa jamani...my wyf stil anasoma chuo kikuu flan hapa nchini na yuko third year and this is her last semista. Yuko na mtoto wetu ambaye ana miezi tisa sasa na nimewapangishia chumba pembeni kidogo ya chuo. Mdada anaemsaidia kazi na kumtunza mtoto pind awapo chuo ana visa vyake balaa. Majuzi mama mtoto pindi anaondoka kwenda chuo mtoto alikuwa anamlilia but [SIZE=-0]ilimbidi aende na mwana kubakia na dada wa kazi. Mama mtu alitoka nje ya nyumba kwenda chuo but alichungulia dirishani kuona kama bado mtoto analia. Alichokishuhudia ilibidi aghairi hata kwenda kwenye kipindi. Alimuona dada wa kazi anampa mtoto ziwa lake anyonye (sijui kumnyamazisha au alikuwa na maana gani?) Nikajiuliza magonjwa anayoweza kumwabukiza mtoto even na sisi wazazi wake pia na athari zingine....Baada ya kupewa habari hiyo kwa kweli stil nafikiria maamuzi ya kutoa .....na ikiwezekana ndio tabia yake huyo beki tu kila mama mtoto awapo chuo anampa hiyo maneno. Je nimfukuze au apewe karipio kali ? Nataka nikampime pia na mtoto hospitali...[/SIZE]

yaani wewe ndio mwenye maamuzi juu ya h/g? cheii, poleni sana, huyo alikuwa ana nia ya kumnyamazisha na mtoto inaelekea kashazoea kunyamazishwa kihivyo na ananyamaza, mie kama mie cjajua bado ningemfanyaje huyo h/g
 
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..

Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....

1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??

Ooooops!!

FL1 Salama?
Mwambie huyo mama azidishe maombi
Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
 
Sisi wanaume tunawindwa sana kila kona!nani mwili huu!limbwata sisi,mahouse gal sisi,nyumba ndogo ni sisi,walioko mtaani wanatutamani sisi jamani tutakuwa wageni wanani?
Kamanda huu ndio ukweli wenyewe. Ni ukweli unaouma kwamba siku zote wanawake ndio vishawishi lakini wanapenda kutupa zigo la lawama kwa wanaume. Wewe imagine waifu wako yuko holidei, halaf unafanya kazi na mdada anakufata ofisini halaf anakuonesha kipele cha upaja eti umsaidie atumie dawa kipone. khaaa! halaf unaamua kukikigusa gusa kipele unaona mdada anahema skioni kwako anajifanya "k i naa uma", hivi utamkumbuka waifu kweli hapo?. Dah! Mie naona wabakaji wapewe msamaha wa rais tu, sio kosa lao kabisa.
 
Naomba side effects za hicho kitendo kwa mtoto nyamayao....then suala la maamuzi tutafanya na wyf this wikiend nikienda waona.
 
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..

Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....

1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??

Ooooops!!

Sasa naanza kuelewa kwa nini house girls huwa hawakai nyumbani kwangu. Nimekuwa na hause girls kama wanne hivi na hukaa muda kidogo tu kama miezi 4 hivi na huanza vituko na mara moja wanaondoka. Offcourse mmoja tulikuja kugudua kuwa ni mchawi. Hawa wa kwangu hawaondoki kwa sababu sina uwezo. Ninamshukuru MUNGU kwa hicho nilichonacho ila kwangu huwa wanaondoka kwa sababu matunguli yao hugonga ukuta maana nimefunikwa na damu ya YESU. Oooooh!, BWANA YESU Jina lako libarikiwe na sante kwa kazi yako pale msalabani maana imeniweka huru mbali na kazi za wachawi.
 
Hii na iwe somo kwa akina mama ambao wamesahau kwamba maandiko yanawataja wao kuwa ni wajenzi wa familia. Ni kweli huwezi fanya kila kitu kwa mumeo, kuna wakati msaada utatakiwa tu. Ndipo hapo unapotakiwa kumkabidhi Mungu kila kitu, na nahisi hata huyo mama amejikabidhi, vinginevyo thread ingekuja 'housegirl avujna ndoa ya bosi, mama anaomba msaada wenu wanajf'.

Pamoja na hayo kazi ya shetani ni kuharibu daima. Jamani tumuombe Mungu wetu.
 
bila msaada wa mumeo hakuna kitu hapo, unaweza kujitutuma we kumbe mwnaume ana ulafi wake, mlafi ni mlafi tu hata ujitutume kivipi, ni kuomba Mungu sana., we unaweza kuona unafanya kila kitu kwake but mwenzio tamaa zinamsumbua na ana nia ya kufanya na atafanya tu kutimiza matakwa yake, nyie hizi ndoa zioneni hivyo hivyo tu.


Nakubaliana na maneno yako ndo maana paragraph yangu ya mwisho katika post yangu ni;

Note; Wanaume hawalindiki hasa akiwa na nia but at least ikitokea utasema "I tried my best but he is just a Ba****"

Siwezi tu bweteka eti kwa sababu hawashikiki, Nampenda mume wangu, na pamoja na kwamba tunaweza ishi maisha ya kisasa kuna vitu basics nazingatia... hata kama simridhishi naamin hata akiniacha nataka aende huko na a time ifike ajute kua kweli alifanya mistake... thats why unatolewa ushauri mnapoona mnataka kuachana na mwandoa wako its beta kutengana kwanza ili wote muwe na uhakika that is what you really want...

I try my best and if my best haitoshi kwake na aende zake.... Naamini kuna ku-fall in love, kuvunjwa moyo, ku-rise again na ku-fall again in love...Hope umenipata Nyamayao

 
Sisi wanaume tunawindwa sana kila kona!nani mwili huu!limbwata sisi,mahouse gal sisi,nyumba ndogo ni sisi,walioko mtaani wanatutamani sisi jamani tutakuwa wageni wanani?

Dah? Nimecheka sana,
 
Back
Top Bottom