Ni hivii,upo mpango wa kupunguza watu duniani,if you haven't seen it already,bad luck for you,but it is obvious.Sasa Kama huo ndio mpangoo,watengeneze dawa ya kutibu ukimwi tena,si watakuwa wanajipinga wenyewe?
Lakini ipo concept yao ya Thesis-Antithesis-Synthethis au Problem-Solution-Reaction.Hii ina maana gani,ina maana kwamba kama watatengeneza dawa (solution)kwa tatizo ambalo tayari wamesha litengeneza yaani HIV-Aids(Problem),solution itatengeneza tatizo lingine kubwa zaidi, ambalo litahitaji "reaction," which will lead to an even bigger problem and so the process continues.
In the short term utaona kana kwamba tatizo lako limetatuliwa,but that is only short term and an illusion.That is how they work,hawana desire completely ya kutatua matatizo,nia ni kuleta more problems.Infact hata kwa waganga wa kienyeji that is how the system works,it is a Satanic system based on lies.