Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Watu wangeupitia ule uzi wa deception naamini kusingekuwa na mijadala inayoendelea kila kukicha, tuliomuelewa tumeelewa wanaondelea kutishwa na uongo wa wazungu waendelee kutishwa.

Ukimwi umekuwa kama story tu hauna uthibitisho wa kisayansi umebakia imani tu ya kuunganisha matukio na sentensi. Amkeeeniiii
 
I wish there were at least 100 million people in the World like you comrade,it would make such a huge deference.
 
Waafrika tunaruhusiwa kutengeneza pia.

Au ndio story za kuwa ukitengeneza unauwawa?
 
Sababu wenyewe wanaita "Big Pharma" au makampuni yanayouza ARV's yatafanya wapi tena biashara ya trillions of Dollars?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…