ivibration
JF-Expert Member
- Oct 10, 2013
- 363
- 73
Sikushangai sana. Iko siku utajitambua.
Unajificha nyuma ya pazia la lugha kwa sababu ya kujiona duni?me neither. That makes the two of us.
Si ushamba na pia si ujinga. It is embracing diversity. English is a widely accepted language, all across the world. I dont think theres a continent where there are no english speaking nation. Kiswahili utapata tu East Africa, na labda kwa wale waeast africa walioko diaspora. You should also bear in mind that British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it. Kenya also enbraces other languages. Some high schools teach french, german language, and even spanish. Do you think you can compare a kid who has learned all these languages, including his mothertongue, with the one who ever since birth knows only swahili? Food for thought.
My children speaks English, French, Swahili, Luhya and Kikuyu and am so proud of them, such a diversity and ability. Very powerful future generation.Si ushamba na pia si ujinga. It is embracing diversity. English is a widely accepted language, all across the world. I dont think theres a continent where there are no english speaking nation. Kiswahili utapata tu East Africa, na labda kwa wale waeast africa walioko diaspora. You should also bear in mind that British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it. Kenya also enbraces other languages. Some high schools teach french, german language, and even spanish. Do you think you can compare a kid who has learned all these languages, including his mothertongue, with the one who ever since birth knows only swahili? Food for thought.
Hebu kwanza sahihisha hapo!My children speaks English, French, Swahili, Luhya and Kikuyu and am so proud of them, such a diversity and ability. Very powerful future generation.
Hatupo kwenye chuo cha ufasaha wa lugha, kama hujaelewa nilichomaanisha basi una matatizo.Hebu kwanza sahihisha hapo!
Hatupo kwenye chuo cha ufasaha wa lugha, kama hujaelewa nilichomaanisha basi una matatizo.
Usikasirike. Ukikosea lugha za wengine ni vizuri kujisahihisha badala ya kuleta jazba!Hatupo kwenye chuo cha ufasaha wa lugha, kama hujaelewa nilichomaanisha basi una matatizo.
Mbona nikasirike, umuhimu wa matumizi ya lugha ni kuelewana, kama wewe kilaza kiasi cha kutokuelewa nilicho kisema basi tatizo lako kubwa na sina suluhisho. Vile vile hakuna lugha ya wenyewe, hata Kiswahili kilitokana na Waarabu na sisi tumejifunza sote, lugha zote zipo kwa ajili ya binadamu kujifunza na kama wewe mvivu huna haja ya kujua zaidi ya moja basi hiyo ni shida yako. Sisi kwetu tunawahimiza watoto wetu kujifunza chochote kile na wana uwezo.Usikasirike. Ukikosea lugha za wengine ni vizuri kujisahihisha badala ya kuleta jazba!
Ukiandika kwa Kiswahili unaonekana mwerevu zaidi!Mbona nikasirike, umuhimu wa matumizi ya lugha ni kuelewana...
Jifunze zaidi ya Kiswahili kaka ili uweze kuona uerevu zaidi ya kiwango chako.Ukiandika kwa Kiswahili unaonekana mwerevu zaidi!
Ninazungumza lugha zaidi ya hicho Kiingereza lakini ninajivunia Kiswahili!Jifunze zaidi ya Kiswahili kaka ili uweze kuona uerevu zaidi ya kiwango chako.
a na b yote sawa..,Nimemuangalia sasa hivi kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza.Wakati huohuo hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa.Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu
Ukiandika kwa Kiswahili unaonekana mwerevu zaidi!
Hiyo ni kauli yako na huwezi lazimisha ulimwengu kufuata nyayo zako.Ninazungumza lugha zaidi ya hicho Kiingereza lakini ninajivunia Kiswahili!