Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Hivi wakenya lugha yao kiswahili au kiingereza?

Status
Not open for further replies.
Kiswahili lugha ya Waswahili. Kiingereza lugha ya Waingereza.
 
Si ushamba na pia si ujinga. It is embracing diversity. English is a widely accepted language, all across the world. I dont think theres a continent where there are no english speaking nation. Kiswahili utapata tu East Africa, na labda kwa wale waeast africa walioko diaspora. You should also bear in mind that British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it. Kenya also enbraces other languages. Some high schools teach french, german language, and even spanish. Do you think you can compare a kid who has learned all these languages, including his mothertongue, with the one who ever since birth knows only swahili? Food for thought.

Hapo penye nyekundu..... nenda Amerika ya kusini hamna zaidi ya kihispania na kireno...... pia nenda ulaya ya mashariki (kiingereza kipo chini sana), kati na Skandinavia kiingereza kipo kwa uchache sana.....
 
Si ushamba na pia si ujinga. It is embracing diversity. English is a widely accepted language, all across the world. I dont think theres a continent where there are no english speaking nation. Kiswahili utapata tu East Africa, na labda kwa wale waeast africa walioko diaspora. You should also bear in mind that British people colonized us and thus we ended up adopting most of their constioltution, which has english as a national language enshrined in it. Kenya also enbraces other languages. Some high schools teach french, german language, and even spanish. Do you think you can compare a kid who has learned all these languages, including his mothertongue, with the one who ever since birth knows only swahili? Food for thought.
My children speaks English, French, Swahili, Luhya and Kikuyu and am so proud of them, such a diversity and ability. Very powerful future generation.
 
Usikasirike. Ukikosea lugha za wengine ni vizuri kujisahihisha badala ya kuleta jazba!
Mbona nikasirike, umuhimu wa matumizi ya lugha ni kuelewana, kama wewe kilaza kiasi cha kutokuelewa nilicho kisema basi tatizo lako kubwa na sina suluhisho. Vile vile hakuna lugha ya wenyewe, hata Kiswahili kilitokana na Waarabu na sisi tumejifunza sote, lugha zote zipo kwa ajili ya binadamu kujifunza na kama wewe mvivu huna haja ya kujua zaidi ya moja basi hiyo ni shida yako. Sisi kwetu tunawahimiza watoto wetu kujifunza chochote kile na wana uwezo.
 
,Nimemuangalia sasa hivi kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza.Wakati huohuo hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa.Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu
a na b yote sawa..
 
Wengi nyie manafiki tu, elites wengi tokea Tanzania kimya kimya wamewajaza watoto wao shule za private academies Nairobi zinazofundisha kwa lugha za kingereza, Kijerumani na Kifaransa. Huku wakiwandaganya walalahoi bongo wazidi kukomaa na Kiswahili eti ni uzalendo. Nafasi nyingi za kazi bongo ukiangalia kwenye mtandao huwa na maandishi kama haya "must be fluent both in English and Swahili". Tangu lini mtu akawa na ufasaha wa lugha bila kuitumia. Wacheni unafiki na muanze kuwahimiza watoto wenyu wajifunze lugha zaidi ya Kiswahili, wajifunze Kijerumani, Kingereza, Kihispania, Kichina nk dunia ya sasa ina ushindani mkubwa na bila uwezo huo basi mutabaki nyuma.
Hata Wajapani, Wachina nk wako mbioni kujifunza Kiswahili na Kingereza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom