Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata mwanamume wa kikurya hongera sana umepata mtu ambaye ni honest katika mapenzi hana longolongoAnyone yuko familiar with kuryans?
Hafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywaOaneni tu mkazichape huko ndani, mwanamke atakurushia mateke ya kangaroo....
mi nimesema wakurya wanawake ndio wanapigaHafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywa
Suala la kupiga hata wanawake wa kichaga, kinyakyusa, warangi nk wanapiga inategemea na hulka ya mwanamke na mume aliyenayemi nimesema wakurya wanawake ndio wanapiga
Warangi apana, wanyakyusa sawa, wachaga Ni baadhi tu Kama wale wa Machame/SihaSuala la kupiga hata wanawake wa kichaga, kinyakyusa, warangi nk wanapiga inategemea na hulka ya mwanamke na mume aliyenaye
Suala la wanawake kuwapiga wanaume limeanza kuwa sugu Tanzania leo nimeona mahali kuna Mwanamke kamchoma mume wake kisu kifuani huko Manyara na kwa sasa siyo ishu ya kabila ni hulka ya Mwanamke na hii inatokana na mazingira aliyolelewa alikuwa anamuona mama yake anabehave vipi kwa mume wake au hakuwahi kulelewa na baba aliishi na Maza pekee nalo ni tatizoWarangi apana, wanyakyusa sawa, wachaga Ni baadhi tu Kama wale wa Machame/Siha
Mndeny is the home of sweet, kind, lovable, beautiful women
Sister angu siyo mkurya,aliolewa na mkurya,yule umbwa alikuwa anampa kipigo flani hiv cha ajabu sana.Yule mkurya angekuwa hai mpaka leo sister angekuwa kashakufa.hao watu sina hamu nao.mzee alikataaga kupokea mali kwamba anawajua hao wanagonga sana wake.sister aliziba masikio na pamba.baadaye ndiyo alielewa kwa nin mzee aligoma kupokea mahaliHafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywa
Mwanaume Mkurya hapigwi wewe,...wakurya wanawake ndio wanapiga
Usimlaumu yeye, yawezekana sister wako kuna mambo alikuwa anamfanyia jamaa anakasirika na wakurya hawapendi zarau labda alikuwa akionywa analeta jeuri hapo lazima uipatepate hakuna mwanaume anayejitambua atataka Mwanamke amzarauSister angu siyo mkurya,aliolewa na mkurya,yule umbwa alikuwa anampa kipigo flani hiv cha ajabu sana.Yule mkurya angekuwa hai mpaka leo sister angekuwa kashakufa.hao watu sina hamu nao.mzee alikataaga kupokea mali kwamba anawajua hao wanagonga sana wake.sister aliziba masikio na pamba.baadaye ndiyo alielewa kwa nin mzee aligoma kupokea mahali
Muhaya ana tatzo gan mpaka uwatolee mfano?Mwanao au Dada yako akikuletea mchumba wa kikurya muambie Bora asiolewe.
Mara Mia Bora aolewe na muhaya
Heri Dada aolewe na kabila jingine lolote ila siyo muhaya au mgogo.Mwanao au Dada yako akikuletea mchumba wa kikurya muambie Bora asiolewe.
Mara Mia Bora aolewe na muhaya