Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Jirani yangu ni mkurya, yaani kwa siku akiongea 80% anaongea kwa kufoka.Sio kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani yangu ni mkurya, yaani kwa siku akiongea 80% anaongea kwa kufoka.Sio kweli
Ewaaah..😊😊Mi nawapenda sana
Nawafahamu Kwa sehemu
Hao ni wasukuma babu.Ukiumwa red eyes ndio mwisho wa uhai wako
Jirani yangu ni mkurya, yaani kwa siku akiongea 80% anaongea kwa kufoka.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Another tribe down..bado tunasubiri kabila la Watakatifu.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Umeandika uongo mwingi sana. Ila basi tu3/4 ya wakurya wana ukoloni sana(wababa) wanadidimiza sana haki za wanawake so kwao ni viumbe dhaifu mno
Familia nyingi za wakurya baba ni zaid ya gaid yaan huwez kukuta amecheka au ametabasam
Muda wote baba ni mtu serious sana yaan hamuwez hata kukaa nae sebulen kuangalia tv
Watoto wakisiikia baba karud hao kulala
Ukweli namshukuru Mungu kuzaliwa familia ya dini na iliyoelimika imenisaidia sana kutokuwa na element za kikurya
My dad is the best ukitukuta tunataniana hutaamin ni wakurya
But famiilia nyingi nilizotembelea aisee ni worse mpk najiuliza hawa hata unyumba wanapeanaje? Wanaombanaje?
Ukweli mwingi3/4 ya wakurya wana ukoloni sana(wababa) wanadidimiza sana haki za wanawake so kwao ni viumbe dhaifu mno
Familia nyingi za wakurya baba ni zaid ya gaid yaan huwez kukuta amecheka au ametabasam
Muda wote baba ni mtu serious sana yaan hamuwez hata kukaa nae sebulen kuangalia tv
Watoto wakisiikia baba karud hao kulala
Ukweli namshukuru Mungu kuzaliwa familia ya dini na iliyoelimika imenisaidia sana kutokuwa na element za kikurya
My dad is the best ukitukuta tunataniana hutaamin ni wakurya
But famiilia nyingi nilizotembelea aisee ni worse mpk najiuliza hawa hata unyumba wanapeanaje? Wanaombanaje?
[emoji23][emoji23]Oaneni tu mkazichape huko ndani, mwanamke atakurushia mateke ya kangaroo....
Mura tigha amang'ana ghayoMimi ni mkurya so naomba nikushaur ule ukweli kabisa
. Kma umepata msabato olewa wala usisite
. Kama umepata aliyekulia mjini olewa wala usisite
. Angalia wazazi wake utapata picha halisi ya alivyo kama wana dini na upendo na aman (peleleza usiangalie kwa macho) olewa
But
Kama ana uprimitive wa aina yoyote usiolewe utajuta mpk unakufa
Kama anaonesha dalili za hatari hata sahiz(hasira kali na ubabe) usiolewe utajuta
Kama kwao kuna ndoa za mitaala usiolewe utajuta
Kama hana dini(comited yeye na familia yake )usiolewe utajuta
Mm ni mkurya nalielewa kabila langu 100% ushaur zaid uliza au njoo pm
Ulisha rara wakakurenga musubati?Fita ni fita raraaa nikurarie
Hahahahaahah mra mimi mwenyewe mrengajiUlisha rara wakakurenga musubati?