Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 3,374
- 13,922
Muongezee na hili kwamba Sisi tunajua maana ya kuoa, yaani,matunzo kwa familia.Tunajua kupenda sanaaaaaaaa yan ile sanaaaaaa ila tuna wivu pia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongezee na hili kwamba Sisi tunajua maana ya kuoa, yaani,matunzo kwa familia.Tunajua kupenda sanaaaaaaaa yan ile sanaaaaaa ila tuna wivu pia sana
Na huyu naemsema ni mkurya wa mjini, amesoma ni MD kabisa ila ni mbabe, Malaya sana anapiga mke wake hadi hurunama.Pia wanakuwaga malaya hawajatulia!
Ndipo utashangaa Kwanini hawako fair?
Yaani Mwanaume anafanya cheating na mke anathibitisha halafu badala ya ku admit na kuwa humbled lakini ndio kwanza wanakuwa wakorofi na vipigo! [emoji848][emoji848]
Yani Mwanaume anakukosea kosa kubwa halafu anakukosea tena na kukuumiza moyo wako!
Imagine cheating ni kosa kwenye ndoa tena kubwa halafu anakuongezea kukubutua vipigo vya kufa mtu!
Hao jamaa mmnh ni noma sana!
Sasa ukristo umeingia nchini umekuta wakurya wanao wanawake wengi tu tena hakuna kikomo cha kuoa kwenye kwa wa kurya" kinacho mfanya mwanaume Kuto kuoa wanawake wengi ni nguvu ya uchumi ikiwa mbaya wanaoa wake wawili hiyo ni kima cha chini, kwaiyo tabia ya kuoa wanawake wengi ni maisha ya kijadi sisi wa Africa ni jamii ya kijadi, Nchi za Afrika kwenye mambo ya ndoa mambo mengi tunafana.Ndiyo.
Imeandikwa mwanamke atawaacha baba yake na mama yake ataambatana na mumewe,
Nao hao hawatakuwa wawili bali mwili mmoja.
Wawili maana yake Mwanaume mmoja na mwanamke mmoja na sio vinginevyo.
YesHafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywa
Nakubaliana na wwJamaa fulani ambao hawana longolongo kwenye ndoa wapambanaji sana kwenye familia zao kwao 1 ni 1 nyeupe ni nyeupe
Tabia unazomuona nazo kwenye uchumba hazitobadilika ni hizo hizo
Lakini usimbane sana kwenye ndoa mpaka akajua unambana mpe nafasi.
Nb. Sio wote lakini wengi wao wako fresh sana.
Mi nawapenda sanaMnatuKandia sana wakurya aiseeh
Zama zimebadilikaa
Hata km hajakioa,hakuachiii[emoji28][emoji1732]Nimesikia kwamba, hawajuagi kuacha mwanamke... Wakioa wameoaaaaa
[emoji28][emoji28]khaaa jmnHeri Dada aolewe na kabila jingine lolote ila siyo muhaya au mgogo.
Nipo hapa,karibu PM baby 😁Nakubaliana na ww
I wish nipate mkurya!
Nilidate na 1 Kwa muda mrefu kidogo!
Wana roho ya kusaidia pia,kupambana Kwa ajili ya familia nk
[emoji849][emoji848][emoji15]au serious?Wahaya akaletewe na nyumba ndogo
Hizo hapo juu uko sawaMimi ni mkurya so naomba nikushaur ule ukweli kabisa
. Kma umepata msabato olewa wala usisite
. Kama umepata aliyekulia mjini olewa wala usisite
. Angalia wazazi wake utapata picha halisi ya alivyo kama wana dini na upendo na aman (peleleza usiangalie kwa macho) olewa
But
Kama ana uprimitive wa aina yoyote usiolewe utajuta mpk unakufa
Kama anaonesha dalili za hatari hata sahiz(hasira kali na ubabe) usiolewe utajuta
Kama kwao kuna ndoa za mitaala usiolewe utajuta
Kama hana dini(comited yeye na familia yake )usiolewe utajuta
Mm ni mkurya nalielewa kabila langu 100% ushaur zaid uliza au njoo pm
Uko sawa kabisa3/4 ya wakurya wana ukoloni sana(wababa) wanadidimiza sana haki za wanawake so kwao ni viumbe dhaifu mno
Familia nyingi za wakurya baba ni zaid ya gaid yaan huwez kukuta amecheka au ametabasam
Muda wote baba ni mtu serious sana yaan hamuwez hata kukaa nae sebulen kuangalia tv
Watoto wakisiikia baba karud hao kulala
Ukweli namshukuru Mungu kuzaliwa familia ya dini na iliyoelimika imenisaidia sana kutokuwa na element za kikurya
My dad is the best ukitukuta tunataniana hutaamin ni wakurya
But famiilia nyingi nilizotembelea aisee ni worse mpk najiuliza hawa hata unyumba wanapeanaje? Wanaombanaje?
[emoji848][emoji849]Na wanawake zao sasa wenye chimbuko la huko nao sio wa kuwachukulia poa hata kidogo!
Hata mkiwa sehemu ya kazi usijiachie uka relax kuwaamini mazima!
Kwenye hili nawakubaliMuongezee na hili kwamba Sisi tunajua maana ya kuoa, yaani,matunzo kwa familia.
[emoji28][emoji28]Nipo hapa,karibu PM baby [emoji16]
Me nilisikiaa hivyooo....Ila cha moto utakuona!
Sasa itakuwa na maana gani uonekane hujaachika lakini huna Furaha umejaa sononi?!
Khaaaa jmn.... basi kaziHata km hajakioa,hakuachiii[emoji28][emoji1732]