Kavirondo
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 751
- 1,605
Another tribe down..bado tunasubiri kabila la Watakatifu.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida iko wapi hapo?Kwetu wakurya ni tatizo na inaenda genetic kama baba alioa mke zaid ya mmoja hata kijana atakuja kufanya ivyo
InasikitishaMKE AKATWA MASIKIO NA MUMEWE NA KUTOWEKA NAYO, ASIMULIA MKASA WOTE
Doricas Richard (23)MKAZI wa mtaa wa bible wilayani sumbawanga amekatwa masikio yake yote mawili na mpenzi wake aitwae Chacha Nyang'oso mkurya mfanyabiashara na mkazi wa Sumbawanga ambaye kaondoka na masikio yote huku akimtishia kuwa iwapo atazungumza sehemu yoyote atamuua. Kisa cha tukio hilo kinadaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.View attachment 2068920
Chanzo : Millard Ayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2068646
Hii hapa ukizingua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea unataka Mkurya yupi wa mjini alistarabishwa na mji au yule original toka Mara ?
Wa mjini hana tofauti na wanaume wengine ila viashiria ya poti poti lazima atakuwa navyo, kama ukileta ujinga unachezea kichapo fasta..
Original yeye ni moto mara moja hana kulemba ...
Hawapendi kuzalauliwa, wao ndio wasemaji wa mwisho ndani ya familiaAnyone yuko familiar with kuryans?
Anyone yuko familiar with kuryans?
Unewahi kuwa na mkurya mkuu?Wanajua sana kupenda na kujali familia, ila wana wivu na viburi hatari.
Once, na siwezi rudia hilo kosa.Unewahi kuwa na mkurya mkuu?
Kisa nin?Once, na siwezi rudia hilo kosa.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kisa nin?
Mimi si mkurya ila nimeishi na kuoa ukuryani nakubaliana na hoja zako 100%Mimi ni mkurya so naomba nikushaur ule ukweli kabisa
. Kma umepata msabato olewa wala usisite
. Kama umepata aliyekulia mjini olewa wala usisite
. Angalia wazazi wake utapata picha halisi ya alivyo kama wana dini na upendo na aman (peleleza usiangalie kwa macho) olewa
But
Kama ana uprimitive wa aina yoyote usiolewe utajuta mpk unakufa
Kama anaonesha dalili za hatari hata sahiz(hasira kali na ubabe) usiolewe utajuta
Kama kwao kuna ndoa za mitaala usiolewe utajuta
Kama hana dini(comited yeye na familia yake )usiolewe utajuta
Mm ni mkurya nalielewa kabila langu 100% ushaur zaid uliza au njoo pm