Hivi wakurya wana sifa gani kwenye ndoa?

Jamaa fulani ambao hawana longolongo kwenye ndoa wapambanaji sana kwenye familia zao kwao 1 ni 1 nyeupe ni nyeupe

Tabia unazomuona nazo kwenye uchumba hazitobadilika ni hizo hizo

Lakini usimbane sana kwenye ndoa mpaka akajua unambana mpe nafasi.

Nb. Sio wote lakini wengi wao wako fresh sana.
 
Warangi apana, wanyakyusa sawa, wachaga Ni baadhi tu Kama wale wa Machame/Siha
Mndeny is the home of sweet, kind, lovable, beautiful women
Suala la wanawake kuwapiga wanaume limeanza kuwa sugu Tanzania leo nimeona mahali kuna Mwanamke kamchoma mume wake kisu kifuani huko Manyara na kwa sasa siyo ishu ya kabila ni hulka ya Mwanamke na hii inatokana na mazingira aliyolelewa alikuwa anamuona mama yake anabehave vipi kwa mume wake au hakuwahi kulelewa na baba aliishi na Maza pekee nalo ni tatizo
 
Hafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywa
Sister angu siyo mkurya,aliolewa na mkurya,yule umbwa alikuwa anampa kipigo flani hiv cha ajabu sana.Yule mkurya angekuwa hai mpaka leo sister angekuwa kashakufa.hao watu sina hamu nao.mzee alikataaga kupokea mali kwamba anawajua hao wanagonga sana wake.sister aliziba masikio na pamba.baadaye ndiyo alielewa kwa nin mzee aligoma kupokea mahali
 
Usimlaumu yeye, yawezekana sister wako kuna mambo alikuwa anamfanyia jamaa anakasirika na wakurya hawapendi zarau labda alikuwa akionywa analeta jeuri hapo lazima uipatepate hakuna mwanaume anayejitambua atataka Mwanamke amzarau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…