Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060
1610112364587.png
Mishahara yetu duni..... Tumekubali.
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali.
Madaraja hatupandi.. Tumekubali.
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yaani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?

Hivi Ualimu ni laana?

Pia soma:
 
Bora msilupwe tu. Hicho chombo mlichofanya kibarua kina watu wake.

Kuna watu kila mwaka wanaenda tu kufanya muitacho kazi maalumu mkijidai kuwa ni siriiii, siri wapi hadi vibarua hao wana makundi yao ya wasap?

Necta achaneni na mahedimasta au mistresi kwa komenti zao za kikuda.

Naiomba serikali iwalipe walioenda kwa mara ya kwanza au pili,

Wengine achaneni nao, tena muwakamate watiwe pingu.

Kwa nini wao miaka 10 mfululizo?

Hingera sana kuwanyima hela, msiwalipe.
 
Baba yetu ni msikivu.Naimani kabisa yeye hili halijui.Kama kweli halijui naamini kupitia hapa atajua.Naakijua naamini siku ya Leo haitapita kilio chenu atajibu.

Naamini kabisa kazi hii ni ya siri na heshima yake.Malalamiko kama haya hakika hayapaswi yaonekane hapa kutokana na unyeti wa Jambo lenyewe.Baraza la Mitihani ni chombo cha Heshima sana,naamini watashughulikia kilio cha watu wao hawa mapema.

Baba naomba wasikilize vijana wako.
Asante
 
Mishahara yetu duni... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual incliment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo !?? Kweli!?

Hivi ualimu ni laana.. !??
safi sana wezi wa kura nyie..wacha muisome namba.....na bado...
 
Mishahara yetu duni... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual incliment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo !?? Kweli!?

Hivi ualimu ni laana.. !??
Nyie sindio mnaimba kuwa Nchi imepata mkombozi?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Naomba niwe mkweli walimu wa nchi hii ni wapumbavu kwanza ndio waliosimamia Uchaguzi na wao ndio waliofanya mafekeche mpaka Tundu Lissu akadhulumiwa ushindi wake Sasa msitusumbue shindeni mechi zenu wenyewe wajinga nyie.

Pili hiyo mnayoita kazi maalum nadhani ndio marking Kuna walimu wenzenu wanalalamika mnaitwa nyie kila mwaka yani mtu ikifika desemba anaanza kupiga bajeti ya hela ya marking maana anajua piga ua ataitwa walimu ambao hawaitwi marking wanajisikia vibaya Sana mashuleni wanaona hawathaminiwi na wakuu wa shule wanatumia hiyo Kama fimbo.
 
Baba yetu ni msikivu.Naimani kabisa yeye hili halijui.Kama kweli halijui naamini kupitia hapa atajua.Naakijua naamini siku ya Leo haitapita kilio chenu atajibu.Naamini kabisa kazi hii ni ya siri na heshima yake.Malalamiko kama haya hakika hayapaswi yaonekane hapa kutokana na unyeti wa Jambo lenyewe.Baraza la Mitihani ni chombo cha Heshima sana,naamini watashughulikia kilio cha watu wao hawa mapema.

Baba naomba wasikilize vijana wako.
Asante
Ni kweli kabisa, sijui ni serikali imefilisika au kuna Wapumbavu wanapiga hiyo hela..

Lakini Jafo yupo
Ndalichako yupo...

Utumishi wapo..

Wanafanya nini!??
 
Naomba niwe mkweli walimu wa nchi hii ni wapumbavu kwanza ndio waliosimamia uchaguzi na wao ndio waliofanya mafekeche mpaka Tundu Lissu akadhulumiwa ushindi wake Sasa msitusumbue shindeni mechi zenu wenyewe wajinga nyie.

Pili hiyo mnayoita kazi maalum nadhani ndio marking Kuna walimu wenzenu wanalalamika mnaitwa nyie kila mwaka yani mtu ikifika desemba anaanza kupiga bajeti ya hela ya marking maana anajua piga ua ataitwa walimu ambao hawaitwi marking wanajisikia vibaya Sana mashuleni wanaona hawathaminiwi na wakuu wa shule wanatumia hiyo Kama fimbo.
Mkuu hata hii comment umeweza kuiandika coz ulifundishwa na hao hao Walimu unaowatukana hapa,try to show some respect for them Mkuu.
 
Mishahara yetu duni... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual incliment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo !?? Kweli!?

Hivi ualimu ni laana.. !??
Inaeleweka na kukubalika kuwa Ualimu kweli ni laana na walimu wote mmelaaniwa kukubali kutumiwa na mwalimu kama ninyi kwenye Uchafuzi na kukubali kunyimwa haki zenu na mwalimu mwenzenu huyohuyo yeye akila jogoo la laki.
 
Back
Top Bottom