Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Kuna maeneo walimu wameamua kukimbia mazima baada tu ya uchaguzi maana wananchi hawataki kuwaona kwa jinsi walivosimamia uchaguzi. Mungu awatie nguvu warudi vituoni kwao
Mungu anawalipa kadri ya matendo yao