Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Mfanyakazi yeyeto awamu hii akubali tu kujitolea kwamba amejenga nchi yake,suala la maslai yake afute kabisa kichwani,hana mpango wala hawezi boresha maslai ya wafanyakazi.Muhimu ni kuwekeza kwenye dua tu Ili asibadili katiba Ili 2025 tuanze upya.
Aliingia kwa lengo la kuumiza watu kuwasomesha namba,kuwalimisha meno hakika ndoto imetimia.
Aliingia kwa lengo la kuumiza watu kuwasomesha namba,kuwalimisha meno hakika ndoto imetimia.