mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
HahahahaMkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Wakuu wa shule ndo walisimamia uchaguzi peke yao nchi nzima??Mkuu tunakuwa forced... Hakuna mwalimu anaipenda CCM... LABDA WAKUU WA SHULE... COZ WANA POSHO YA NGUO.
Hawamu hii mwalim????TumedharauliwA mnoo hawamu hii... Haijawahi tokea..
Mwalimu kumbe unasomesha mtoto private???Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Mimi niko upande wa John, hivi akiamua kulipa vyote hivyo atatoa wapi pesa yote hiyo? Wacha John akamilishe kwanza miradi mikubwa ya kimkakati! Nyie walimu ni punching bag ya ka John vumilieni tu! Tunajua mlishiriki vizuri sana kupakua yale masanduku ya kura fake vituoni hivyo this thing is eating on your side (direct translation from swahili - inakula kwenu)!! Mi-five tenaaaaaaa! Na ikimpendeza hata Milele ni sawa tu!Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Umesahau kitu kimoja:Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Na tutawawowa sana walimu awamu hii!Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Baraza la mitihani ni chombo cha heshima wakati mpaka mitihani ya std seven inaibiwa??Baba yetu ni msikivu.Naimani kabisa yeye hili halijui.Kama kweli halijui naamini kupitia hapa atajua.Naakijua naamini siku ya Leo haitapita kilio chenu atajibu.
Naamini kabisa kazi hii ni ya siri na heshima yake.Malalamiko kama haya hakika hayapaswi yaonekane hapa kutokana na unyeti wa Jambo lenyewe.Baraza la Mitihani ni chombo cha Heshima sana,naamini watashughulikia kilio cha watu wao hawa mapema.
Baba naomba wasikilize vijana wako.
Asante
Baraza la mitihani la nchi yetu lina heshima kubwa.Siyo uungwana kuanika mambo yake kwenye mitandao ya kijamii.Tuache mara moja.Baba yetu ni msikivu.Naimani kabisa yeye hili halijui.Kama kweli halijui naamini kupitia hapa atajua.Naakijua naamini siku ya Leo haitapita kilio chenu atajibu.
Naamini kabisa kazi hii ni ya siri na heshima yake.Malalamiko kama haya hakika hayapaswi yaonekane hapa kutokana na unyeti wa Jambo lenyewe.Baraza la Mitihani ni chombo cha Heshima sana,naamini watashughulikia kilio cha watu wao hawa mapema.
Baba naomba wasikilize vijana wako.
Asante
Mitihani kuibiwa haimaanishi kuwa NECTA siyo chombo Cha heshima.Kwani kwako ukiibiwa na majambazi,Basi unakuwa huna heshima?Baraza la mitihani ni chombo cha heshima wakati mpaka mitihani ya std seven inaibiwa??
Haahaa walimu wanadhulumiwa Sana..Naomba niwe mkweli walimu wa nchi hii ni wapumbavu kwanza ndio waliosimamia Uchaguzi na wao ndio waliofanya mafekeche mpaka Tundu Lissu akadhulumiwa ushindi wake Sasa msitusumbue shindeni mechi zenu wenyewe wajinga nyie.
Pili hiyo mnayoita kazi maalum nadhani ndio marking Kuna walimu wenzenu wanalalamika mnaitwa nyie kila mwaka yani mtu ikifika desemba anaanza kupiga bajeti ya hela ya marking maana anajua piga ua ataitwa walimu ambao hawaitwi marking wanajisikia vibaya Sana mashuleni wanaona hawathaminiwi na wakuu wa shule wanatumia hiyo Kama fimbo.
Huyo umemchongea tayari! Ka John kataibuka huko na uhakiki wa wafanyakazi tena!Kwa Tanzania na Adha zilizopo kazi ya ualimu ni kazi inayomfaa mwanamke ,ni Jambo la ajabu na la hudhuni Sana kumuona mwanaume mzima ni mwalimu .... Kuna rafk yangua alisomea ualimu (mwaka wa tano sasa anapiga kazi) juzi ananipigia ananiambia bro skujua kama ualimu ni kazi ya hovyo hivi, uamzi aliofanya , kaomba kwenda masomoni alaf kachikichia chuga anapiga biashara ...mshahara unaingia masomoni hayupo na kituoni hayupo anasema liwalo na liwe
Wacha mlaaniwe Kabisa na asiwaongeze chochote kwasababu pia mlimsaidia kushindaMishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Hao wasaidizi walijiweka wenyewe? Au amelazimishwa kuwa nao?Hili la kazi maalum siyo sahihi kuliweka humu.Tusiichukie nchi yetu kwa ajili ya mtu mmoja,ambaye hana wasaidizi wazuri.