Walimu wengi mshukuru kuwa katika ajira,mfumo wa ovyo wa miaka mingi kuwaajiri waliofanya vibaya olevel na STD 7 yaani walimu wa upe.kazi yenu kubwa ni kuwapa majibu ya mitihani watoto.mishahara yenu kulingana na jitihada zenu mlipokuwa shuleni mnasoma na hata kwa elimu mnayotoa kwa watoto kwenye shule za serikali ni zaidi mlichostahili.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app