Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika walimu wapumbavu ww ni no moja ,yaan kabisa ulikuwa unategemea hela ya Kaz maalum ndio ulipe Ada ya mtoto? Hapa umejionyesha waz kuwa kumbe ww unaenda kwa rushwa huko Kaz maalum maana had kuipangia matumiz ya Ada pesa ya Kaz maalum means iko planned kabisa.Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Hata wanafunzi wao wana laana pia,kwahiyo tuseme nchi hii wote tuna laana,maana huwezi fundishwa na mwenye laana ukakosa laanaInaeleweka na kukubalika kuwa Ualimu kweli ni laana na walimu wote mmelaaniwa kuyakubali yote mnayotendewa maana na yeye ni mwalimu mwenzenu anayewatendea yote hayo.
Hao walimu walichapwa nchi nzima?ilikuwa wapi hiyoRespect kwa wapumbavu my foot walimu ni wapumbavu we huoni walikuwa wanachapwa fimbo? Narudia Tena walimu ni wapumbavu.ushaona manesi au madaktari wakichapwa fimbo?
Nyie si ndiyo mliingia na mafurushi ya kura zake vituoni? Na bado mtateseka sana, JPM kanyagia hapo hapo hadi watie akili.Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual incliment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo !?? Kweli!?
Hivi ualimu ni laana.. !??
Tena ukinilazimisha kuwatetea walimu basi nitatoa tusi ambalo litafanya nipigwe ban.naomba tusifike huko kutetea wapumbavuSawa Mkuu... Lakini kwanini haki icheleweshwe.!? Afu usitukane walimu.kumbuka wewe uko hivyo sababu ya Mwalimu.
Hili la kazi maalum siyo sahihi kuliweka humu.Tusiichukie nchi yetu kwa ajili ya mtu mmoja,ambaye hana wasaidizi wazuri.Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual incliment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo !?? Kweli!?
Hivi ualimu ni laana.. !??
Hakuna mgomo wa walimu hizi Ni kauli za kujifariji tu ,tunaona wakuu wa shule ,walimu wakuu ,ma meck wanavyowapelekesha walimu wa kawaida kisa posho wanazokula na kwa ujinga wa walimu nao wanasalitiana wao kwa wao kwa kuamua kuwa wapeleka taarifa za walimu wenzao kwa hao viongoz uchwara.Hivi Dr. Ulimboka aliyeng'olewa meno bila ganzi naye alikuwa ni mwalimu?...
hahahaha hakuna jiwe chini ya jiwe litakalo salia,nyie walimu si ndo mlisimamia uchaguzi mkasema kashinda kwa kishindo mkawawadhulumu wapinzani kura zao Wapinzani waliwatetea sana leo hawapo,SASA JITETEENI WENYEWE,Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali...
Katika walimu wapumbavu ww ni no moja ,yaan kabisa ulikuwa unategemea hela ya Kaz maalum ndio ulipe Ada ya mtoto? Hapa umejionyesha waz kuwa kumbe ww unaenda kwa rushwa huko Kaz maalum maana had kuipangia matumiz ya Ada pesa ya Kaz maalum means iko planned kabisa....
Mkuu umeongea ukweli mtupu bila shaka wewe ni mwalimu.Hakuna mgomo wa walimu hizi Ni kauli za kujifariji tu ,tunaona wakuu wa shule ,walimu wakuu ,ma meck wanavyowapelekesha walimu wa kawaida kisa posho wanazokula na kwa ujinga wa walimu nao wanasalitiana wao kwa wao kwa kuamua kuwa wapeleka taarifa za walimu wenzao kwa hao viongoz uchwara...
Naamini serikali imeona walimu wake inaowapeleka marking kila mwaka wanavyoichafua na kutoa Siri za serikali. Hamkuambiwa Aina za Siri? Hamkuambiwa Mambo ya embargo kwenye semina ? Necta lioneni hili mlifanyie kazi.Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
KUKUBALI KUPITISHA KURA FEKI VITUONIMishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali...
Tunakuchoma Sasa ndio utatia akili ndio utajua cc ni was.ng au wasengerema.Mse..nge ww...