Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
Hujielewi, acha kulialia. Kazi ulifanya kama siri, alafu wewe unakuja mitandaoni kulia lia. Bado tuna watanzania mbumbumbu kama wewe, sasa elimu imekusaidia nini?Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Huu utahira kwa wakuu wa shule umekuwa mkubwa sana, yaani wanafanya Siri utafikiri kuna mwalimu anayeweza kuwarogo hao wanaoenda kusahihisha.Bora msilupwe tu. Hicho chombo mlichofanya kibarua kina watu wake.
Kuna watu kila mwaka wanaenda tu kufanya muitacho kazi maalumu mkijidai kuwa ni siriiii, siri wapi hadi vibarua hao wana makundi yao ya wasap?
Necta achaneni na mahedimasta au mistresi kwa komenti zao za kikuda.
Naiomba serikali iwalipe walioenda kwa mara ya kwanza au pili,
Wengine achaneni nao, tena muwakamate watiwe pingu.
Kwa nini wao miaka 10 mfululizo?
Hingera sana kuwanyima hela, msiwalipe.
Wenye mishahara duni wapo,wala siyo ninyi.Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Nasema tena NAKUHIFADHI.Alaf maana ya Kaz nyeti unaelewa ww Mwalimu kilaza? Ingekuwa nyeti usingekuja kulia Lia hapa ,ndio maana nimesema unapata hii Kaz kwa rushwa maana ungekuwa na maadil Kama ulivyojitanabaisha hapa usingeleta uzi hapa.
Kwan Ni ww tu hujalipwa hiyo pesa ? Je walimu wote wangekuja mitandaon kungekuwa na nyuz ngapi?
Njaa zitakuua we Mwalimu uliyejaa maden had unategemea karo itokane na Kaz maalum ,wenzio tunalipa karo bila hizo Kaz maalum na hatulii hapa maana tuna mishahara na tulikubal wenyew kuifanya hii Kaz kwa hiari zetu wenyew ,ila ww kucheleweshwa wik moja tu kelele kibao je ,usingeenda marking karo ya mwanao ingetoka wapi?
Pesa ya marking Ni pesa ya ziada ambayo huwez ipangia bajet hasa bajet nyeti Kama ya kulipia karo ya mwanao.
Nikisema ww Ni mpumbavu nakua sikosei ,nikisema una njaa nakua sikosei ,nikisema ww Ni mtu wa rishwa sikosei maana umejianika mchana kweupe.
Tumia mshahara wako na mikopo kuendeleza vipato vingine vya kupatia hiyo karo na sio kutegemea pesa ya Kaz maalum maana mpaka saiz inaonekana umechanganyikiwa jumla na msipolipwa ww lazima ushikishwe ukuta kupata hiyo karo ya mwanao
Jitolee kwa nchi yako iwe hiali au lazma......Bit Mi-five tenaTumedharauliwA mnoo hawamu hii... Haijawahi tokea..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukwel unauma eee ,acha kulia Lia mitandaon, mwanaume aliyekomaa hawez kulilia pesa za marking et akamlipie karo mtoto wake.Nasema tena NAKUHIFADHI.
Unaongea ka dem aliyeolewa burebure... Yani ukapigwa tu mimba ukajisogeza...
Mpuuzi fulani..
Huyu mwalimu hovyo kabisa halafu tutegemee kupata wataalam wazuri kupitia mwalimu kama huyu ambaye ameshindwa kutunza siri ya kazi maalum.Hujielewi, acha kulialia. Kazi ulifanya kama siri, alafu wewe unakuja mitandaoni kulia lia. Bado tuna watanzania mbumbumbu kama wewe, sasa elimu imekusaidia nini?
Idiot
Nyokoooo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukwel unauma eee ,acha kulia Lia mitandaon, mwanaume aliyekomaa hawez kulilia pesa za marking et akamlipie karo mtoto wake.
Nifuate pm nikukopeshe milion 1 ukalipe karo ,utanirudishia 1.2m baada ya mwez mmoja kupita.
Tena awakamue mpaka mtoke 'nnyaa mzidi kukaa sawa!Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Pitia comments za wadau uone ulivyo kiande, yaan unaonekana kabisa ndio wale wa Elimu za hapa na pale[emoji23][emoji23].Umeapa kiapo kuwa hiyo Kaz Ni Siri wewe unakuja kukenua huku ,hapo hapo et na ww unaniita mm sina maadili ,jaman ,yaan shukuru jf Kuna fake I'd wewe ungejulikana hakika saiz yangekuwa mengine wangekusaga haya makalio yako kwa viboko.Nyokoooo....
Hivi tAifa linakuaje na watu hasara kama wewe... !?Pitia comments za wadau uone ulivyo kiande, yaan unaonekana kabisa ndio wale wa Elimu za hapa na pale[emoji23][emoji23].Umeapa kiapo kuwa hiyo Kaz Ni Siri wewe unakuja kukenua huku ,hapo hapo et na ww unaniita mm sina maadili ,jaman ,yaan shukuru jf Kuna fake I'd wewe ungejulikana hakika saiz yangekuwa mengine wangekusaga haya makalio yako kwa viboko.
Narudia Tena njoo pm nikupe loan
walimu mnapokuwa wazembe hivi obviously mnaanda kizazi cha kizembe.Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Uko sahihi maana wewe umeongelea kulipwa pesa na kila mtu anajua wanaoenda NECTA kusahihisha wanalipwa hii sio siri.Hivi tAifa linakuaje na watu hasara kama wewe... !?
Hivi ni wapi nimedisclose mchakato mzima wa kazi..
Ninaongelea malipo..
Damn you.... Siri siri siri... My black ass. They only work for teachers.
Hivi unajua wAbunge wanasign shng ngapi per day... Wanajambajamba tu mle ndani..
Mwalimu kapinda mgongo...anarudi anaumwa..halipwi..
Damnn..
U narrow minded ,small issue like this unaileta kwenye platform Kama hii!! Sasa hapo unakataa nn kuwa huja disclose mchakato mzima?coz payment Ni part ya mchakato mzima ,kwan sisi tulipaswa kujua unaidai serikal laki nane ?Hivi tAifa linakuaje na watu hasara kama wewe... !?
Hivi ni wapi nimedisclose mchakato mzima wa kazi..
Ninaongelea malipo..
Damn you.... Siri siri siri... My black ass. They only work for teachers.
Hivi unajua wAbunge wanasign shng ngapi per day... Wanajambajamba tu mle ndani..
Mwalimu kapinda mgongo...anarudi anaumwa..halipwi..
Damnn..