Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Dah..
Hizi comment kwakweli
Hizi comment kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na walimu wa kike wana mlala nani ?hebu toa ufafanuzi kidogo hapo.PENGINE NI LAANA YA KUWALALA WANAFUNZI WA KIKE huwezi jua.
🤷😂😂Ni kweli kabisa, sijui ni serikali imefilisika au kuna Wapumbavu wanapiga hiyo hela..
Lakini Jafo yupo
Ndalichako yupo...
Utumishi wapo..
Wanafanya nini!??
Umeelewa we sema unajitoa ufahamu.Na walimu wa kike wana mlala nani ?hebu toa ufafanuzi kidogo hapo.
Andamaneni basi mbona kipindi cha jk kila siku kuandamanaMishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Na nyie ndo mlisimamia uchaguzi?Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Sijaelewa kwa sababu mtoa mada kaongelea upande mmoja sasa hao wengine ni laana ya nini?Umeelewa we sema unajitoa ufahamu.
Basi tukaushie Hii mada tufanye haituhusuSijaelewa kwa sababu mtoa mada kaongelea upande mmoja sasa hao wengine ni laana ya nini?
Kausha, kausha mkuu, unavuna malipo ya uovu uliopanda, hyo ni trela picha Kamil linakujaWhy US!?
Kumbuka sisi ndio tunatumika kufanya kazi zote maalumu za kitaifa...
Sensa..
Daftari la kura...
Uchaguzi..
Tena kwa malipo madogo mnoo...
Why the hell are we treated like this!?? Like hogs..
Why!?
[emoji44][emoji44][emoji44]kazi ya mwenzio ni bora kaka,yako ama zetu haziwasaidii kituUALIMU ni fani ya kipumbavu sana wanaoifanya ni wapumbavu na malofa...
Nilikuwa kwenye kada hiyo...najua ninachokisema.haipendezi kuwa mnatukana hawa watu kila mara bila ushahidi.
Niliikimbia kada hii....ukihudumu zaidi ya miaka mi5 na hujajitoa,hesabia maumivu!Hawa walimu na wenzao polisi hawana utu kabisa. Utafikiri sio wazawa!!!
sasa unasema kwa sababu umeshatoka huko au kwa sababu hujatakiwa na walio juu yako kufanya hivyo???Nilikuwa kwenye kada hiyo...najua ninachokisema.
Kama unaongea kutoka moyoni Basi wewe ni mbumbumbu.Chombo chenye umakini na weledi ni Ccm tu.