Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Binti yangu asipofunga miguu asitegeme mimi kupokea mahari yoyote, na hili swali nitamuuliza. Inauma sana kuoa mwanamke amechakazwa, yet unaambiwa 4M, ya nini sasa wakati aliolewa kabla ya kuolewa.
Whaaaat, asking her what? Which? Where? How?
 
Utaratibu ulianzishwa na mwanaume.

Na nia ni kummiliki mwanamke awe chini yake, na wengine kumfanya mtumwa kabisa.

Sasa hivi pesa imekuwa ngumu, na wanawake wenyewe wamekuwa pasua kichwa. Wanaume wameanza kugoma kutoa mahari.
Sasa tusipotoa mahari tutawaoaje?
Huu utaratibu haufi hatuwezi kuwaoa bure ni dharau.
 
Nakuuliza wewe binti yangu, unijibu kama upo sealed ili kama vipi swala la mahari liahirishwe mkwe apewe mke bure kabisa.
Baba mkoloni kama.wewe utapewa jibu ambalo hutakuja kulisahau, be warned
 
Sasa tusipotoa mahari tutawaoaje?
Huu utaratibu haufi hatuwezi kuwaoa bure ni dharau.
Mbona ushaanza kufa? Kwanza siku hizi watu wanachukuana tu bila utaratibu wanaishi.
Na wanaopinga mahari sasa hivi uwezekano ni mkubwa wakagoma kupokea mahari za mabinti zao hapo baadae.
 
Tema mate chini haraka sana🤣🤣🤣
Mimi nadhani kwenye hili suala, wazizi wanapaswa kuwa reasonable, kwa kuwa suala la mahari ni utaratibu basi tufuate utaratibu pasipo kumuumiza muoaji, tuweke mahari ya kawaida ambayo upande wa pili wataridhika na sio kukomoana maana hata baada ya ndoa undugu bado upo na binti bado ni wa kwako sio kwamba umemuuza
 
KATAA MAHARI Skylar 🤣
 
Mi naona ni kautaratibu kazuri tu la sivyo wanaume tungeteseka sana na hz za rejareja
Waliona mbali kwa jamii yetu lakini jamii zingine mwanamke ndo anahusika
 
"Mahari"
Hujasikia huhusu Marioo?
 
Kwani humuwezi oana bila kulipishana mahari ?
Mnaweza. Watu wanafanya mengi hukatazwi, hata ukitaka kuwa baba wa nyumbani mkeo aende kazini inawezekana kabisa. Ni wewe tu.
 
Mnaweza. Watu wanafanya mengi hukatazwi, hata ukitaka kuwa baba wa nyumbani mkeo aende kazini inawezekana kabisa. Ni wewe tu.
Anhaa kumbe inawezekana nafikiri itakuwa njia njema kuonesha utu kwa mabinti zetu na kuacha utamaduni wa udhalilishaji
 
Mi naona ni kautaratibu kazuri tu la sivyo wanaume tungeteseka sana na hz za rejareja
Waliona mbali kwa jamii yetu lakini jamii zingine mwanamke ndo anahusika
Reja reja kwenye kuoana ndio kitu gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…