Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Anhaa kumbe inawezekana nafikiri itakuwa njia njema kuonesha utu kwa mabinti zetu na kuacha utamaduni wa udhalilishaji
Unakomplicate mambo sana. We fanya unaloona ni sawa boss.
 
Unakomplicate mambo sana. We fanya unaloona ni sawa boss.
Nimecomplicate ki vipi mwanangu.
Tujitahidi kufungua vichwa vyetu kuwaza vitu hata ambavyo ni tamaduni na mazoea ambayo yapo yapo pasipo kujua kwa sababu gani za msingi kwa nini yapo.

Tunapo hoji kuhusu masuala fulani tunapata uelewa mkubwa tofauti na awali
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Unasema tu hata wewe hiyo 50/50 hutaiweza. Mwanamke akijikomboa kiuchumi basi hiyo 50/50 ni rahisi sana kwake.

Na wanawake wengi wamejikomboa na wengine wana mawazo ya kujikomboa ni suala la muda tu.

Sasa wewe upangiwe zamu ya kuosha vyombo kelele utakazopiga nchi jirani watasikia
50/50 sio kwenye uchumi tu dada angu. Kuna vipengele vingi sana. Mfano vitani ni wanaume tu ndio wanaenda kwenye batle field tukisema na wanawake waende matari wa mbele vitani mpo tayari?, mkiachana mnagawa mali tukiweka 50/50 kila mtu achukue alichokitolea jasho mpo tayari?, bungeni kuna viti maalumu kwa ajiri ya wanawake tukisema tuondoe zile nafasi hamtalalamika?
 
50/50 sio kwenye uchumi tu dada angu. Kuna vipengele vingi sana. Mfano vitani ni wanaume tu ndio wanaenda kwenye batle field tukisema na wanawake waende matari wa mbele vitani mpo tayari?, mkiachana mnagawa mali tukiweka 50/50 kila mtu achukue alichokitolea jasho mpo tayari?, bungeni kuna viti maalumu kwa ajiri ya wanawake tukisema tuondoe zile nafasi hamtalalamika?
Kwenye vita sio lazima ni hiyari.
Pia kimaumbile mwanamke hawezi kupigana vita kama wapo basi ni wachache.

Viti maalum mimi sikubaliani navyo. Wanawake wapewe nafasi kutokana na uwezo wao, bila upendeleo wowote. Sina tatizo.
 
Ujue hapa duniani kume kuwapo na tuvitu vitu twa ajabu tusito na kichwa wala miguu ambato tumeanzishwa bila sababu yoyote ya msingi na watu mpaka leo wanatufanya bila ya kuwa na sababu ya msingi.

Sasa tuizungumzie "mahari"

1. Hivi walio anzisha haka kautaratibu ka mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani ya msingi haswa ?

2. Kwanini pia wanaharakati wa haki za wanawake hawaoni haka kautaratibu kuwa kakishamba na kupiga kelele kafutwe ?
Mkuu, kwani wewe ungekuwa Mwanamke ungekataa kulipiwa MAHALI ??

Samahani lakini[emoji3578]
 
Kwenye vita sio lazima ni hiyari.
Pia kimaumbile mwanamke hawezi kupigana vita kama wapo basi ni wachache.

Viti maalum mimi sikubaliani navyo. Wanawake wapewe nafasi kutokana na uwezo wao, bila upendeleo wowote. Sina tatizo.
Ndo hapo ujue 50/50 haiwezi kuwa practible. By any means lazima mwanamke awe chini ya mwanaume iyo ndio nature
 
Mbona Kuna jamii wanaume ndio wanalipiwa?ni utaratibu tu
 
Back
Top Bottom