Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko pia ili kuwaje wakakubali haka kautaratibu kaajabu ?Mbona Kuna jamii wanaume ndio wanalipiwa?ni utaratibu tu
Akhasante mkuu, nilijichanganya kidogo ila baada ya kukisoma hicho kitabu vizuri nmeelewa wapi nlipokosea.
Hakuna sababu ya kukubali kununuliwa kama mtumwa au bidhaa sokoniAkhasante mkuu, nilijichanganya kidogo ila baada ya kukisoma hicho kitabu vizuri nmeelewa wapi nlipokosea.
Turudi kwenye swali, wewe ungekuwa mwanamke ungekataa kulipiwa mahari ??
Binadamu utatuweza basi? Tuna vimambo na vijamboHata huko pia ili kuwaje wakakubali haka kautaratibu kaajabu ?
Labda haujajua bado Nomino mahari ina maana gani, nipe maana ya neno ndipo ukatae neno. Usikatae neno wakati haujui maana ya neno.Hakuna sababu ya kukubali kununuliwa kama mtumwa au bidhaa sokoni
Mimi sijui asante wewe peke yako unayejuaLabda haujajua bado Nomino mahari ina maana gani, nipe maana ya neno ndipo ukatae neno. Usikatae neno wakati haujui maana ya neno.
Kwahiyo mangi ubataka kuoata utelezi bure?Ujue hapa duniani kume kuwapo na tuvitu vitu twa ajabu tusito na kichwa wala miguu ambato tumeanzishwa bila sababu yoyote ya msingi na watu mpaka leo wanatufanya bila ya kuwa na sababu ya msingi.
Sasa tuizungumzie "mahari"
1. Hivi walio anzisha haka kautaratibu ka mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani ya msingi haswa ?
2. Kwanini pia wanaharakati wa haki za wanawake hawaoni haka kautaratibu kuwa kakishamba na kupiga kelele kafutwe ?
🤣🤣Kama hako kautaratibu haukubaliani nako achana nako
Kwanini upangiwe maisha? Weka utaratibu wako ambao unaona ni sawa...easy
Acha kugeuza maandiko mwanamke ndo aliambiwa na tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala,soma vizuri ndugu.....mwanamke thamani yake iko kwa mwanaume na mwanaume hakuumbwa kwajili ya mwanamke,tambua hakuna mahali kwenye Bible inaeleza kwamba Adam alikua anasumbuliwa na upweke,bali alikua pekeake tofauti na wanyama wengine. ... hivyo ni maoni ya Mungu kuona kwamba asiwe pekeake,na ndio maana baada ya makosa yao Adam mtu wa kwanza kumrushia mpira wa lawama ni Mungu alimwambia si huyu mwanamke uliye nipa......maana yake ni kwamba kwani nilikuomba unipe mwanamke,au kuna mahali nimekulalamikia kua ninasumbuliwa na upweke? Mwanaume hawezi sumbuliwa na upweke hata siku bali anaweza akawa pekeake ni mishe zikaenda kwa makusudi tuJiulize kwanza kwanini wanawake wanajiuza wanaume wawalipe kufanya nao ngono, lakini wanaume hawajiuzi? Au kwanini male pornstars hawalipwi vizuri kama wanawake? Bible imesema tamaa ya mwanaume ipo kwa mwanamke, wabahili na wasio nazo tunajifanya wenyewe.
Mimi lengo langu tubishane, mbona unanikwepa sasa kaka ??Mimi sijui asante wewe peke yako unayejua
Ogelea usituhadithieUnatoa mahari m unakuta maku ina majii kisenge *****