Hivi wana-JF, mnamfahamu mnyama huyu?

Hivi wana-JF, mnamfahamu mnyama huyu?

Cassnzoba

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
3,661
Reaction score
6,913
Habari za mchana wanajf

Leo nataka niwafahamishe kuhusu mnyama huyu aitwaye simbilisi au kwa kiswahili sanifu anaitwa nungu bandia

1. Anakula majani na vitu vyote alavyo binadamu yan mbogamboga ugali wali pilau na aina zote za mbogamboga isipokua nyama na vitunguu kwani akila vitunguu anaumwa hadi kufa

2. Ni mnyama rahisi sana kufuga kwani anakula chakula sawa na binadamu pia ni mdogo anahitaji nafasi ndugu tu.

3. Anazaa baada ya miezi miwili na wiki moja na akizaa anaweza kushusha hadi watoto 6.

4. Wanaweza kua kama rafiki kwa mtu mpweke coz hawang'ati ovyo mpaka uwakosee kwa mfano uchokoze banda lao kwani hawapendi kelele coz wanaweza kupata hata stress hayo ni machache tu lakini wana sifa nyingine ambazo zimepelekea mimi kuwapenda kiasi ambacho nafuga ili niwaone coz nahuruma sana siwezi kuwachnja nawasilisha!

1787549.jpg
 
Simbilisi... vinazaa kila mwezi... kinapozaa dume anasikilizia pembeni kikimaliza kuzaa watoto wote dume anakula mzigo chap kwa haraka. Ni mnyama pekee anaeliwa daily na kuzaa monthly. Vikimya ila vigundua harufu yako mfugaji vinakelele ivo...vinalia chwiiii...chwiiiii. Nimefuga sana ivo. Nilinunua viwili dume na jike after 2 month nikawa na simbilisi 10 pamoja na wawili wale
 
Simbilisi...vinazaa kilamwez...kinapozaa dume anasikilizia pemben kikimaliza kuzaa watoto wote dume anakula mzigo chap kwa haraka.Ni mnyama pekee anaeliwa daily na kuzaa monthly. Vikimya ila vigundua harufu yako mfugaji vinakelele ivo...vinalia chwiiii...chwiiiii.Nimefuga sana ivo.Nilinunua viwili dume na jike after 2 month nikawa na simbilisi 10 pamoja na wawili wale
Uliwafanya kitweo?
 
Hao ni Guinea Pig maisha yao yanaishia maabara kwenye tafiti za kisayansi ila mikoa ya kusini watu wanakula kama hawana akili nzuri...
 
Panya ni mdogo sana kwa huyu....mwanzon niliona siwez walipokuja nitengenezea nikawa mdau.....ivo sungura na hao nawala vizuri tu
Sungura ni mtamu sana, kuna sehemu huwa wana msosi kisinia cha sungura huwa sikosi maana ni mtamu kuku haoni ndani, ila hivi simbilisi enzi zetu mtaani kila mtu alifuga sema sikuwahi kula nyama yao simbilisi
 
Panya ni mdogo sana kwa huyu....mwanzon niliona siwez walipokuja nitengenezea nikawa mdau.....ivo sungura na hao nawala vizuri tu
Sungura ni mtamu sana, kuna sehemu huwa wana msosi kisinia cha sungura huwa sikosi maana ni mtamu kuku haoni ndani, ila hivi simbilisi enzi zetu mtaani kila mtu alifuga sema sikuwahi kula nyama yao simbilisi
 
Back
Top Bottom