Hivi wana-JF, mnamfahamu mnyama huyu?

Hivi wana-JF, mnamfahamu mnyama huyu?

Wanaweza kua kama rafk kwa mtu mpweke coz hawang'ati ovyo mpaka uwakosee kwa mfan uchokoze banda lao kwan hawapendi kelele coz wanaweza kupata hata stress hayo ni machache tu lakn wana sifa nyingne ambazo zimepelekea mimi kuwapenda kiasi ambacho nafuga ili niwaone coz...
Hawaliwi ?

Wanafaa kwenye ufugaji wa kibiashara ?
 
Hawaliwi ?

Wanafaa kwenye ufugaji wa kibiashara ?
Kuhusu kuliwa wanaliwa na wanafaa pia katka ufugaji wa kibiashara kwan soko lake ni mashuleni kwenye kufanya operation na pia mahotelin na kitaa pia.
 
Si ndo Kama panya wale?
ukimkamata unatakiwa umkate kwanza mkia
hapana hawafanan kabisa ila wanataka kuendana na nguruwe kidogo coz ya manyoya yao af hawana mkia kabisa wamezaliwa hv wana rangi rangi na nyama yao ni nyeupe amby n nzur kwa afya
 
Kama wanazaa kila baada ya miezi miwili, ukifikisha 200 utawapeleka wapi?
Unaweza kuweka oda ya mashulen kama advance na vyuo coz wanaweza kutumika ktk kufanya upasuaj wa vitendo na pia mahotelin kama chakula na wana nyama nyeupe
 
Sungura ni mtamu sana, kuna sehemu huwa wana msosi kisinia cha sungura huwa sikosi maana ni mtamu kuku haoni ndani, ila hivi simbilisi enzi zetu mtaani kila mtu alifuga sema sikuwahi kula nyama yao simbilisi
nao nyama yao tamu 2 mkuu
 
Simbilisi...vinazaa kilamwez...kinapozaa dume anasikilizia pemben kikimaliza kuzaa watoto wote dume anakula mzigo chap kwa haraka.Ni mnyama pekee anaeliwa daily na kuzaa monthly. Vikimya ila vigundua harufu yako mfugaji vinakelele ivo...vinalia chwiiii...chwiiiii.Nimefuga sana ivo.Nilinunua viwili dume na jike after 2 month nikawa na simbilisi 10 pamoja na wawili wale
hahahahahaaa ni kweli mkuu
 
hapana hawafanan kabisa ila wanataka kuendana na nguruwe kidogo coz ya manyoya yao af hawana mkia kabisa wamezaliwa hv wana rangi rangi na nyama yao ni nyeupe amby n nzur kwa afya
Simbilisi na panya ni jamii moja wote ni Rodents na tabia zao ndio hizo wote huzaa watoto wengi kwa wakati mmoja na wana "gestation period fupi sana" ndio maana anaweza kuzaa kila mwezi. Kingine huenda hujui kuhusu Simbilisi na wanyama wa jamii hiyo yaani rodents wanauwezo wa "ku diffuse" mimba kama hali ya upatikanaji chakula sio mzuri, so wanazaa pale tu wanauhakika wa upatikanaji chakula!
 
Simbilisi na panya ni jamii moja wote ni Rodents na tabia zao ndio hizo wote huzaa watoto wengi kwa wakati mmoja na wana "gestation period fupi sana" ndio maana anaweza kuzaa kila mwezi. Kingine huenda hujui kuhusu Simbilisi na wanyama wa jamii hiyo yaani rodents wanauwezo wa "ku diffuse" mimba kama hali ya upatikanaji chakula sio mzuri, so wanazaa pale tu wanauhakika wa upatikanaji chakula!
Elezea huko kudiffuse mimba
 
Tatizo vina kelele sana vikisikia harufu ya pumba au ugali.

Kuna kipindi vilikuwa dili sana walisema unaweza vifuga ukaviuza kwa mataasisi ya tafiti za tiba na dawa wanatumika maabara sana sana
 
Elezea huko kudiffuse mimba
Rodents wanakawaida ya "kuahirisha kuzaa" kama hali ya chakula sio nzuri, niliposema ku "diffuse" nilimaanisha wanaharibu mimba makusudi ikiwa bado changa na kutumia kurutubisha miili yao!
 
Rodents wanakawaida ya "kuahirisha kuzaa" kama hali ya chakula sio nzuri, niliposema ku "diffuse" nilimaanisha wanaharibu mimba makusudi ikiwa bado changa na kutumia kurutubisha miili yao!
Ahaaa okay nimekuelewa now mkuu umesomea wp?
 
Tatizo vina kelele sana vikisikia harufu ya pumba au ugali.

Kuna kipindi vilikuwa dili sana walisema unaweza vifuga ukaviuza kwa mataasisi ya tafiti za tiba na dawa wanatumika maabara sana sana
ni kwli wanatumika lab mkuu
 
Ahaaa okay nimekuelewa now mkuu umesomea wp?
Mimi nimesoma Animal Behaviour chuo Kikuu cha Anglia Ruskin huko Cambridge, UK na sasa nafanya tafiti za wanyama kwa muda mrefu nashirikiana na kitengo cha Pest Management pale SUA
 
Mimi nimesoma Animal Behaviour chuo Kikuu cha Anglia Ruskin huko Cambridge, UK na sasa nafanya tafiti za wanyama kwa muda mrefu nashirikiana na kitengo cha Pest Management pale SUA
ahaaa kama hutomind ntakua nakuuliza baadh ya v2 au?
 
Back
Top Bottom