Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jeshi la Rwanda halitathubutu kumtoa Tshekedi madarakani.Congo River Alliance wamesema wamekaribia mji wa Bukavu halafu Kalemie na hatimae Lubumbashi.
Lilimtoa Mobutu ndio ije huyu,anyway Congo River Alliance ni muungano wa Makundi mengi ya Waasi ambao hawaridhishwi na utawala wa Tshisekedi.Hilo jeshi la Rwanda halitathubutu kumtoa Tshekedi madarakani.
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU
Nimechoka kabisa jeshi la nchi limeikimbia inchi na kuwaachia wananchi msala
Wanajeshi wa kongo wamekimbilia Rwanda na kupokelewa kama wakimbizi hii ni hatari sana aisee
SAYUNI BOY
Lilimtoa Mobutu ndio ije huyu,anyway Congo River Alliance ni muungano wa Makundi mengi ya Waasi ambao hawaridhishwi na utawala wa Tshisekedi.
Sasa hivi wanatengeneza Momentum na logistics ili waende all the way to Kinshasa.
Congo River Alliance wamesema wameukaribia mji wa Bukavu halafu Kalemie na hatimae Lubumbashi.
Hao Waasi wa M23 Wanaungwa mkono na Watu wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo yenye migogoro.Wakubwa wao wapo dhidi yao,wakitumia silaha kubwa dhidi ya m23,wanapokonywa zinarudishwa kambi zingine,cha kufia nini!?
Wanajeshi wa kongo wamechoka hatari Kombat azieleweki na mabuti ya mvua kama wanaenda shamba
Lilimtoa Mobutu ndio ije huyu,anyway Congo River Alliance ni muungano wa Makundi mengi ya Waasi ambao hawaridhishwi na utawala wa Tshisekedi.
Sasa hivi wanatengeneza Momentum na logistics ili waende all the way to Kinshasa.
Siyo kweli kwamba WaCongoman siyo wazalendo kwa nchi yao, la hasha. Kabla ya kuwalaumu hao raia/Wananchi tunapaswa tujiulize: Je, ni kwa nini hasa huko DR Congo Vita na uasi havikomi miaka nenda rudi? Ni hasa kiini au chanzo cha kuwepo kwa huo Mgogoro na vurugu huko DR Congo?Wacongo wanajua kukata mauno tu huku nchi yao inateketea.
Huwez kufa kizembe kwa kutetea viongozi wajingaSifa ya mwana jeshi ni kufia vitani siyo kwenda kujificha inchi jirani
Umeshupalia buti za mvua mzee tangu kule kwenye group la WhatsapWanajeshi wa kongo wamechoka hatari Kombat azieleweki na mabuti ya mvua kama wanaenda shamba