Hivi wanajeshi wa Congo wanajielewa kweli? Yaani wameiacha nchi yao wamekimbilia Rwanda kujificha?

Hivi wanajeshi wa Congo wanajielewa kweli? Yaani wameiacha nchi yao wamekimbilia Rwanda kujificha?

Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU

Nimechoka kabisa jeshi la nchi limeikimbia inchi na kuwaachia wananchi msala

Wanajeshi wa kongo wamekimbilia Rwanda na kupokelewa kama wakimbizi hii ni hatari sana aisee

SAYUNI BOY
Kongo ina mapedeshee na matapeli zamana wakiitwa kamanyola. Wangekuwa na jeshi hata robo ya Tanzania, kusingkuwa na upuuzi wa M23 au Rwanda ambao wametengenezwa na M7 tuliyemtengeneza baada ya kumchapa nduli na kumchoka Obote.
 
Hao Waasi wa M23 Wanaungwa mkono na Watu wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo yenye migogoro.
Aidha, hata baadhi ya Vigogo wengi sana waliopo ndani ya Serikali ya Congo DR pia wanawaunga mkono hao Waasi wa M23. Hivyo, hao Waasi wa M23 Wana Watu wao ndani ya Serikali ya huko na wamekuwa wakipata taarifa zote kabisa muhimu za kiintelijensia kutoka Serikalini kupitia kwa hao Mawakala wao.
Mbaya zaidi sana, ndani ya Majeshi yote kabisa ya Serikali ya Congo DR kuna Mamluki wengi sana ambao pia ni Wapiganaji wa Vikosi vya Waasi wa M23, that's why unaona kwamba kuna matukio mengi sana ya Uasi wa chini chini ndani ya Majeshi ya nchi hiyo.
Jeshi la Congo DR jinsi lilivyo ni sawa sawa kabisa na jinsi Jeshi la Nigeria jinsi lilivyo. Wanajeshi wengi sana wa Nigeria pia ni Wapiganaji wa Kundi la Boko Haram, na Wanajeshi wengi sana wa Jeshi la Congo DR pia ni Wapiganaji wa Vikosi vya Waasi wa M23.
Tuko pamoja Mkuu
 
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU

Nimechoka kabisa jeshi la nchi limeikimbia inchi na kuwaachia wananchi msala

Wanajeshi wa kongo wamekimbilia Rwanda na kupokelewa kama wakimbizi hii ni hatari sana aisee

SAYUNI BOY
Hao wanajeshi wa Kongo inaonyesha wana Maisha magumu hata kwa kuwaangalia tu.
Serikali yao nadhani haijali jeshi lao acha wakimbie cha kufia nini ili hali viongozi wanaiba mahela alafu wamejificha kinsasha
 
Kulinga ukubwa wa Congo na ukubwa Rwanda ulivyo huwa siamini kama Rwanda inaweza ipiga Congo acha wateke maeneo
 
DRC yapaswa kutawaliwa.
Ni nchi ambayo haitakuwa stable kwa miaka mingi sana
 
Huwez kufa kizembe kwa kutetea viongozi wajinga
Hata yeye huyo aliyetoa comment hiyo, sidhani kama anaweza kuwa tayari kujitolea muhanga nafsi yake na uhai wake ili kulinda na kutetea maslahi ya Watawala Mafisadi na waovu.
Maana ya neno uzalendo siyo kuwatetea Watawala waovu na Mafisadi.
 
Hao wanaweza muziki tu na kukata viuno.Linchi kuubwa lakini debe tupu.
Afadhali hata Mobutu arudi aendelee kuwatia spana.
 
Mkuu, Uzalendo ni saikolojia. Mtu kuwa tayari kufa ili wengine wakae kwa amani haitokei tu. Pengine hata wewe pakinuka vizuri hii nchi ukakataa kufa.
Uzalendo siyo suala la kuwatetea na kuwalinda Watawala waovu, Mafisadi na wabaguzi.

Tambua tofaufi iliyopo kati ya vitu hivi viwili:-
1. Uzalendo kwa Serikali na Watawala waliopo.
2. Uzalendo kwa Nchi yako.

NB:- Uzalendo kwa nchi yako ni jambo la LAZIMA, lakini uzalendo kwa Serikali na Watawala siyo jambo la LAZIMA, hii inategemea na uzuri au ubaya walionao Watawala wenyewe pamoja na Serikali yao wanayoongoza.
 
Uzalendo siyo suala la kuwatetea na kuwalinda Watawala waovu, Mafisadi na wabaguzi.

Tambua tofaufi iliyopo kati ya vitu hivi viwili:-
1. Uzalendo kwa Serikali na Watawala waliopo.
2. Uzalendo kwa Nchi yako.

NB:- Uzalendo kwa nchi yako ni jambo la LAZIMA, lakini uzalendo kwa Serikali na Watawala siyo jambo la LAZIMA, hii inategemea na uzuri au ubaya walionao Watawala wenyewe pamoja na Serikali yao wanayoongoza.
Uzalendo ni saikolojia bila kujali wa nchi yako au wanasiasa. Kuna saikolojia inajengwa kwanza akilini ndo uzalendo unatokea. Kuna watu wanakosa uzalendo hata kwa familia yake achila mbali nchi.
 
Vita ni mbinu! Narudia ni mbinu, ukiokota wafungwa, ukawavisha magwanda ya nchi yao, ukaonesha ni wajeshi wamejisalimisha! Saikolojia ya vita, ndio maana kuna mtu kasema lakini wanapigana miaka yote!
 
Back
Top Bottom