MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ningekuwa ni Mimi pia niseme kuwa ningekuwa nimelala mbele kitambo Sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali hiyo ya Wanajeshi kutothaminiwa na Watawala waliopo madarakani pia ipo nchini Msumbiji, ndio maana unaona kwamba Waasi wa RENAMO kule Cabo Delgado waliliteka eneo hilo kwa urahisi Sana bila kikwazo chochote kileSana...wanajeshi wamevaa yebo na shamba boot.
Very sad. Hawathaminiwi watapataje morari?
Yan unaona bora hata mtu angejifanyia biashara zake tu kuendesha maisha
Inasikitisha sanaHali hiyo ya Wanajeshi kutothaminiwa na Watawala waliopo madarakani pia ipo nchini Msumbiji, ndio maana unaona kwamba Waasi wa RENAMO kule Cabo Delgado waliliteka eneo hilo kwa urahisi Sana bila kikwazo chochote kile
Hao ni mamluki wa Kagame na jeshi la Rwanda, hamna waasi wenye nguvu kiasi hicho.Lilimtoa Mobutu ndio ije huyu,anyway Congo River Alliance ni muungano wa Makundi mengi ya Waasi ambao hawaridhishwi na utawala wa Tshisekedi.
Sasa hivi wanatengeneza Momentum na logistics ili waende all the way to Kinshasa.
Hawa hata kuwapa adhabu ya kifo ni kama kuwaonea tuHuo sasa ndio usaliti at its best! Soldiers ku-side na adui ndilo kosa la juu kabisa jeshi linapokuwa vitani. Na adhabu yake ni moja tu... inajulikana.
Umeshusha madini ya kiwango sana mkuuSiyo kweli kwamba WaCongoman siyo wazalendo kwa nchi yao, la hasha. Kabla ya kuwalaumu hao raia/Wananchi tunapaswa tujiulize: Je, ni kwa nini hasa huko DR Congo Vita na uasi havikomi miaka nenda rudi? Ni hasa kiini au chanzo cha kuwepo kwa huo Mgogoro na vurugu huko DR Congo?
Kimsingi, DR Congo kuna matatizo mengi Sana ambayo yanasababisha hali hiyo ya kuwepo kwa migogoro na Vita isiyokwisha. Kwa kifupi, DR Congo is a failed State! Hakuna Utawala ulio madhubuti nchini DR Congo, Utawala wake unaundwa na Magenge ya Watu wachache Sana ambao umejikita kwenye ufisadi na uporaji wa rasilimali za nchi hiyo ili kujinufaisha wao wenyewe pamoja na Vibaraka wao (wafuasi wao wachache) huku kundi kubwa zaidi la Wananchi wengi zaidi wa nchi hiyo wamebaki kuwa mafukara wa kupindukia. Mbaya zaidi Sana, Utawala wa nchi hiyo unafanya Siasa za Propaganda hatari za Kuwagawa Watu kwa misingi ya Ukabila, Ukanda, Itikadi za Siasa, n.k. Siasa za kuwagawa watu ni jambo baya na la hatari kubwa sana, matokeo yake ndiyo hayo unayoyaona ya Wanajeshi kuasi na kujiunga na Wapiganaji Waasi.
Hata baadhi ya Wananchi wengi waishio kwenye hayo maeneo yenye vurugu na Vita wamekuwa wakiwaunga mkono Waasi wa M23.
DuhKongo ina mapedeshee na matapeli zamana wakiitwa kamanyola. Wangekuwa na jeshi hata robo ya Tanzania, kusingkuwa na upuuzi wa M23 au Rwanda ambao wametengenezwa na M7 tuliyemtengeneza baada ya kumchapa nduli na kumchoka Obote.
Wanajeshi wanakuwa HAWANA Morali na Hamasa ya kupigana vitani.Inasikitisha sana
Raia gani hasa?Viongozi au raia?
Ngumu sana kwakwel. Na una familia ma watu wanaokutegemea.Wanajeshi wanakuwa HAWANA Morali na Hamasa ya kupigana vitani.
Kwanza Mishahara waakati mwingine huwa wanalipwa kwa kuchelewa Sana, na mbaya zaidi wakati mwingine pia huwa wanakopwa na wanalipwa Nusu mshahara. Katika Mazingira mabaya kama haya, ni Mwanajeshi gani hasa ambaye yupo tayari kupigana vita hadi kufa kwa ajili ya kuwatetea Watawala wa nchi wa namna hiyo?
Waasi wenye nguvu kubwa za kijeshi kiasi hicho wapo, tena wapo wengi sana. Inategemea na aina ya Waasi wenyewe, Mazingira waliyopo, uungwaji mkono, na sababu zingine nyingi sana kama vile 'motives' mahsusi zinazowafanya hao Waasi kupingana na Utawala uliopo.Hao ni mamluki wa Kagame na jeshi la Rwanda, hamna waasi wenye nguvu kiasi hicho.