Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kama watanzania wengi wakiwemo viongozi wa dini wamekataa kuuza au kukodisha bandari kwanini wanasiasa wasiwaache wabaki na umaskini wao? Maendeleo gani ya kulazimishana?
Kwanza hatujawahi kuwauliza kama wanataka fedha nyingi kama hayo matrilioni. Tumeshawaonyesha njia wamekataa kuipita tuachane nao ipo siku njaa ikizidi watashauri wanachotaka
Kwanza hatujawahi kuwauliza kama wanataka fedha nyingi kama hayo matrilioni. Tumeshawaonyesha njia wamekataa kuipita tuachane nao ipo siku njaa ikizidi watashauri wanachotaka