Pac the Don JF-Expert Member Joined Feb 17, 2021 Posts 6,170 Reaction score 7,710 Jul 24, 2023 #21 KING KIGODA said: Maana yake wananchi 3/4 tumepitisha Dp world kuwekeza Bandarini kama makubaliano yasemavyo. Click to expand... Hujajib swali langu
KING KIGODA said: Maana yake wananchi 3/4 tumepitisha Dp world kuwekeza Bandarini kama makubaliano yasemavyo. Click to expand... Hujajib swali langu
Mr Dudumizi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2020 Posts 7,799 Reaction score 14,215 Jul 24, 2023 #22 FRANCIS DA DON said: Na hutaki kujua wa kuuliza kilichosababisha wafunge account zao? Click to expand... Haya niambie wewe sababu, ila uweke na fact za kunifanya niamini sio uniletee tetesi kama zile wanazoleta wapinga mkataba. Mtu anasema serikali imeuza bandari zetu, lkn hatuoneshi kifungu cha mkataba kinachozungumzia uuzwaji huo.
FRANCIS DA DON said: Na hutaki kujua wa kuuliza kilichosababisha wafunge account zao? Click to expand... Haya niambie wewe sababu, ila uweke na fact za kunifanya niamini sio uniletee tetesi kama zile wanazoleta wapinga mkataba. Mtu anasema serikali imeuza bandari zetu, lkn hatuoneshi kifungu cha mkataba kinachozungumzia uuzwaji huo.