Hivi wanaofaidi keki ya taifa ni nani hasa kati ya Wananchi na Viongozi?

Hivi wanaofaidi keki ya taifa ni nani hasa kati ya Wananchi na Viongozi?

John the baptist. Hivi umepatwa na nini sa hivi ?? Mbona hueleweki ??

Acha kulalamika mzee piga kazi. Nchi hii itajengwa na Wananchi wa Nchi hii.

Maendeleo hayana vyama.
 
Na wewe uwege unauliza maswali yenye kichwa na miguu.
Kwani wewe maisha yakikunyookea nani ataanza kunywa soda na bia.. familia au wewe utafutaji utaanza kujipongeza kwanza
Nazungumzia kutoka maisha ya mtaani kabisa kule kwa akina bwashee Mrangi mgonga kokoto.

Hii keki ya taifa anayeifaidi ni nani hasa?

Huku chini tozo, ushuru na kodi ni nyingi sana na labda hizi ndio zinatengeneza hiyo keki, je kuna mrejesho wowote wa keki kwa hawa waponda kokoto wasiokwea V 8?

Maendeleo hayana vyama!
 
Na wewe uwege unauliza maswali yenye kichwa na miguu.
Kwani wewe maisha yakikunyookea nani ataanza kunywa soda na bia.. familia au wewe utafutaji utaanza kujipongeza kwanza
Hahahaaaa....... haya bhana!
 
Afrikan leaders are there for the sake of they're familia
 
wanafaidi wanaotembelea magari ya millioni 400 na kula kiyoyozi tu siku nzima

wanafaidi pia wanaokwapua mamillioni na kujilimbikizia mali bila kushitakiwa popote huku wanaoibiwa wakibatizwa jina la wanyonge

Nasema uongo ndugu zangu?
True au mla keki,msaza kodi zetu anaishi ikulu tatu at the same time huku mkamuliwa kodi ana lala nje hata kibanda hana,watu kufa kwa kukosa Panadol ya 500 sio jambo la kushangaa
 
Back
Top Bottom