Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Inaonyesha hili neno umaarufu hulijui maana yake, kama unajua maana ya neno hili huwezi kubisha.Acha uongo wewe umaarufu sehemu inayonuka wapi na wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonyesha hili neno umaarufu hulijui maana yake, kama unajua maana ya neno hili huwezi kubisha.Acha uongo wewe umaarufu sehemu inayonuka wapi na wapi
🤣🤣🤣Mkuu kweli hayo maeneo ni zaidi ya Kijijini,wahi ukanunue shamba manzese,magomeni na mwananyamala
We dogo ,juzi tu ulikuwa Jobless ,umepata hicho kiajira chako cha laki saba mwaka jana utumishi leo unaleta dharau na kujiona Don flani mithiri ya sheikh Makhtoum au sio ?Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni