Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

We unayeishi Kibondo unapata wapi nguvu ya kuwasema wakazi wa Dar?
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
 
Njoo kinondoni yetu uishi mzee

Ova
Tena kinondoni ndo na mpango wa kuhamia Kodi ikiisha hapa.....

Watu humu anaandika anashangaa mtu kuishi uswahilini wakati mwenyewe yupo huko huko,

Huko ushuani wanakula vyakula vya mwezi uliopita huku sisi uswahilini tukila fresh kuanzia morning to night.....

Next stop kinondoni mwanamboka mpaka Biafra, morroco hapo kidgo nasogea makumbusho
 
Sasa Dar ni ipi ukiiondoa hayo maeneo uliyotaja? Kwa akili Yako Dar ni kariakoo?!
 
Pale Kariakoo kati hivi watu wanaweza kupumua kweli kwa msongamano ule?

Kuna dereva wetu mmoja ilikuwa ukitaka kugombana naye mwambie tu "nipeleke Kariakoo" 😂😂😂
😂 Dar ina wenyewe asee
 
Dar ukitoa elfu 10 kwenye daladala kila mtu anakuangalia.
 
😂 Dar ina wenyewe asee
Mkuu,

Ina wenyewe na wengine wenyewe ndio sisi. Hapo Kariakoo kwetu, familia zimekaa hapo Misheni Kota tangu kabla ya enzi za Paul Rupia anamfadhili Baba Kabwela kwena UNO. Baba yake bibi yangu kajenga Azania Front wamemaliza 1903.

Ila Dar imebadilika mpaka wenyewe tukirudi tunakuwa wageni tunakuta kuna wenyewe wapya. Wengi wanatuona sisi ndio wageni.
 
Wanaita Goms wengine Gms ili kuficha madhaifu

Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni

 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Ukiishi mitaa hiyo(Uswazi) ndo umeishi Dar yenyewe sasa!
Wengine hizo mishe mishe na heka heka ndo zinamchangamsha mtu na kumfanya awe sharp na pia unajifunza mbinu nyingi za maisha tofauti na huko ushuani wanaishi kwenye mageti kama jela😂
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Mkuu kweli hayo maeneo ni zaidi ya Kijijini,wahi ukanunue shamba manzese,magomeni na mwananyamala
 
Back
Top Bottom