Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe utakuwa Mshamba wa Mkoani tu, ulifikiri ukija DAR utaona DARA inafanana na Mbingu.
Hapo maoms kijijini kuna Bini cha maana?Naishi hapa kyabakari village.
Kuna cha maana hapo musoma vijijiniNaishi hapa kyabakari village.
Jinsi unavyokua umri zaidi, na Jiji nalo linakua kimakazi zaidi, DSM ya miaka ya 70 siyo DSM ya miaka ya 2000!!Nimezaliwa Ocean Road 1978
MZani wa magari ukiwa ubungo,stendi ya mkoa ikiwa kisutu na mnazi mmoja
Unapajua avalon,empire,empress,new chox,cameo,starlight,drivein
Huko ndio tukienda kucheki movies na mzee wangu hayati ????
We mshamba tu, temeke ni sehemu mojawapo yenye mipangilio ya makaziKuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Vingunguti mbona umeisahau mkuu?Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Madhaifu gani?Wanaita Goms wengine Gms ili kuficha madhaifu
We lazima utakuwa mshambaKuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Sasa kama magomeni mikumi kote mkeka masaki yenyewe haingi ndaniKuna maneno katika maneno uliyotaja ni mazuri Sana tu mfano gongo la mboto, mahomeni na Temeke kuna sehem ni kuzuri Sana tu
Nimewahi kuishi Manzese Tip Top, pale opposite na S/M Ukombozi kwa muda wa miaka 13; mwaka 1990-2003.Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Yaani uko na treni SGR kunatoka Pugu kuja Magufuri Terminal.Ukiwa unatoka Dodoma au Morogoro - kwa Treni ya SGR, baada ya kituo cha Pugu kuja Magufuli Terminal, mandhari nzuri ulokuwa unaona kabla ya Pugu, inapotea unakutana na mandhari fikirishi sanaaa
Umrisha🤣 muraNaishi hapa kyabakari village.
Musoma moja hiyo ........ KiabakariiNaishi hapa kyabakari village.