Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

Tembea kijana bado hujalijua vizuri hili jiji
Nimezaliwa Ocean Road 1978
MZani wa magari ukiwa ubungo,stendi ya mkoa ikiwa kisutu na mnazi mmoja
Unapajua avalon,empire,empress,new chox,cameo,starlight,drivein
Huko ndio tukienda kucheki movies na mzee wangu hayati ????
 
Nimezaliwa Ocean Road 1978
MZani wa magari ukiwa ubungo,stendi ya mkoa ikiwa kisutu na mnazi mmoja
Unapajua avalon,empire,empress,new chox,cameo,starlight,drivein
Huko ndio tukienda kucheki movies na mzee wangu hayati ????
Hilo halikufanyi ukalijua jiji Mkuu,Tembea mkuu
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Ushamba tu unakusumbua,.......ninyi ndio mumetoka mikoani mumejaa ushamba,munajifanya huu mji munaujua sana.
Unadhani kipindi Mjerumani na muingereza anakata viwanja Magomeni na Temeke,.....Boko,Bunju,Salasala kulikua na mapori tu huko na haikuruhusiwa kujenga kiholela.
Umetoka zako ndichi mpitimbi huko unakuja kumponda mzawa wa Magomeni,una akili wewe?
 
Nina uhakika mleta mada haijui Dar vyema. Alipaswa afahamu kuwa, kwa sasa maeneo yote yanayoitwa ushuani (Masaki, msasani, Osterbay, Mbezi beach, Mbweni, Upanga nk) yana uswahili pia, makazi duni, uchafu nk. Na maeneo yote yanayojulikana kama uswahilini (kama Manzese, Buguruni, Tandika, Mbagala, Gongo la mboto, Tandale) yanayo pia maeneo ya kishua yenye makazi bora, usafi na ukisasa.

Anachotakiwa kukifahamu tu, Dar ni jiji lenye watu wengi, mchanganyiko na suala la mipango miji kwa 99% lilishakufa au halikuwepo kabisa. Hivyo popote panaweza kuwa vyovyote. Ni suala la muda tu.

Magomeni anayoiona na kuiita uswahilini, mpaka kufikia miaka ya 90 ilikuwa ni eneo lililojulikana kwa kupangika, nyumba za kota, ustaarabu na ikiaminiwa Dar ni Magomeni.
 
Ushamba tu unakusumbua,.......ninyi ndio mumetoka mikoani mumejaa ushamba,munajifanya huu mji munaujua sana.
Unadhani kipindi Mjerumani na muingereza anakata viwanja Magomeni na Temeke,.....Boko,Bunju,Salasala kulikua na mapori tu huko na haikuruhusiwa kujenga kiholela.
Umetoka zako ndichi mpitimbi huko unakuja kumponda mzawa wa Magomeni,una akili wewe?
Mzawa hana kitu sasa kwa nini asipondwe?kujisifia ujinga tu..
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Bila hayo maeneo hakuna Dar.
Dar maana yake ni mji unaonuka
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Basi DAR HAUIJUI vizuri na kama sio hivo utakua mgeni wa jiji, kuna watu maeneo hayo wanamaisha mazuri kuliko wengi wa mbweni, goba , madale, mbezi beach na kadhalika na maeneo hayo hayo kuna sehemu kiwanja Tu bila bilioni moja bado hujakigusa ,
 
Ushamba tu unakusumbua,.......ninyi ndio mumetoka mikoani mumejaa ushamba,munajifanya huu mji munaujua sana.
Unadhani kipindi Mjerumani na muingereza anakata viwanja Magomeni na Temeke,.....Boko,Bunju,Salasala kulikua na mapori tu huko na haikuruhusiwa kujenga kiholela.
Umetoka zako ndichi mpitimbi huko unakuja kumponda mzawa wa Magomeni,una akili wewe?
Sielewi kwanini umepaniki mkuu.
1. Hizo sehemu mbali na ujenzi holela, kuna uchafu uliokithiri.
2. Hata kama makazi ni hafifu si wafanye hata usafi ambao ni rahisi tu?
Sasa unatetea kitubgani au umezoea harufu mbaya mkuu?
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
kweli wewe bado ni mshamba unaejifanya Bitozi. Kwa hiyo, akili yako yote wewe ulikuwa unajua DAR ni Mbinguni ?
 
Back
Top Bottom