Hivi wanaooga kwenye swimming pools hawakojoi mule? Kiafya ipoje?

Mokaze,
Yale maji yanatoka na kuingia kama ilivyo baharini...kama ushawai kwenda swimming pool au basi nenda hata ukachungulie tu pembeni uwa kuna mabomba yanayoingiza maji na katikati ya pool kwa chini uwa pana kidude sikijui jina kinachotoa maji.

Halafu magonjwa ya kuambukiza sijui UTI na makorokoro yake nahisi ni mtu na mtu + kinga zake za mwili...
 
Depal,
Depal huwa yanatolewa baada ya sisi wananzengo kuogelea, na hilo zoezi hufanyika kila siku sio kila dakika au saa.
.
Mfano leo twende whitesands tutaogelea weee tukimaliza yatabaki yaleyale watakuja wengine wataogelea weee muda ukiisha yanatolewa na kuingizwa mengine.
Kwa hiyo period zenu nimemeza sana hadi nahisi kutapika sasa
 
Halafu magonjwa ya kuambukiza sijui UTI na makorokoro yake nahisi ni mtu na mtu + kinga zake za mwili...


Hivi wewe unaijua Ebola au unaisikia??, kipindupindu unakijua??-- ikatokea kuwe na mtu anacho kipindupindu na hayo maji yakachafuka "contaminated" na maambukizi mbona watu wengi wataathirika, inaweza ikatokea na huwa inatokea kwa bahati mbaya mtu akanywa hayo maji-- maambukizi kibao ya maradhi.
 
Khaligraph Jordan,
Hapana bana angalia vizuri ukiwa swimming huoni vile vibomba vinaendelea kutoa maji?
Ila binafsi uwa najizuia sana kuingiwa mdomoni na Yale maji....ilo la period ndio sio Mara nyingi bana me nimelishuhudia Mara moja beach
#ukimchunguza sana bata huwezi kumla
 
Aah bwana basi usinitishe 🏊 ila kipindupindu ni huko kwenu dar, Ebola sina chochote nikijuacho
 
Aah bwana basi usinitishe 🏊 ila kipindupindu ni huko kwenu dar, Ebola sina chochote nikijuacho



Wewe umeambiwa ugonjwa unayo mipaka, leo kipindupindu kipo Dar, na kesho kipo Kigoma, Kagera, Mbeya nk-- watu ndiyo husambaza magonjwa kwa kuchangamana na kusafiri huko na huko, huoni AIDS ilianzia marekani lakini leo imekuwa ni global disease.

Swimming pools ni janga la dunia--- another white men shit.🀣
 
Mimi nafanya kazi za swimming pool tunadawa nyingi sana zinawekwa ili kuhakikisha maji hayadhuru mfn unaweza ukapga vikombe wakat wa kuogelea hutaumwa tumbo,ngozi yako haitaharibika wala hutapata muwasho wowote so maji huwa ni salama na tuna test na kipimo kujua kiwango cha dawa ambayo ipo au inatakiwa kuongezwa. Thats it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…