Pre GE2025 Hivi wanasiasa wa CHADEMA wakihamia CHAUMMA leo, sheria inawaruhusu kuwa wagombea kupitia CHAUMMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Pre GE2025 Hivi wanasiasa wa CHADEMA wakihamia CHAUMMA leo, sheria inawaruhusu kuwa wagombea kupitia CHAUMMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Habari wadau!

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sheria ya uchaguzi ilifanyiwa mabadiliko enzi za Mwendazake lengo ni kudhibiti watu kuhamia vyama vingine uchaguzi unapokaribia.

Kwa kumbukumbu zangu, kuna mdau ambao mwanachama anatakiwa awe mwanachama wa chama husika Kama kigezo cha kuruhusiwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi mkuu.

Kama sio sheria ya uchaguzi, basi itakuwa ni sheria ya vyama vya siasa but all in alll, kuliwahi kuwa na jambo la aina hii.

Kama niko sahihi, minimum ni muda gani?

Je, Lissu na wenzake watasalimika iwapo hii sheria kweli ipo wakitaka kuhama CHADEMA?

Japo Lissu kasema hahami CHADEMA, lakini tukumbuke Lissu aliwahi sema CHADEMA sio Mama yake akimanisha kuwa siku CHADEMA ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhamia Kama ambavyo Nyerere aliwahi sema kuhusu yeye kuondoa CCM
 
Habari wadau!

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sheria ya uchaguzi ilifanyiwa mabadiliko enzi za Mwendazake lengo ni kudhibiti watu kuhamia vyama vingine uchaguzi unapokaribia.

Kwa kumbukumbu zangu, kuna mdau ambao mwanachama anatakiwa awe mwanachama wa chama husika Kama kigezo cha kuruhusiwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi mkuu.

Kama niko sahihi, minimum ni muda gani?

Je, Lissu na wenzake watasalimika iwapo hii sheria kweli ipo wakitaka kuhamia CHADEMA?

Japo Lissu kasema hahami CHADEMA, lakini tukumbuke Lissu aliwahi sema CHADEMA sio Mama yake akimanisha kuwa siku CHADEMA ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhamia Kama ambavyo Nyerere aliwahi sema kuhusu yeye kuondoa CCM
Sasa wewe team lissu hamkusoma sheria hiyo kabla ya kuongia kichwa kichwa kwa akina maria
 
Habari wadau!

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sheria ya uchaguzi ilifanyiwa mabadiliko enzi za Mwendazake lengo ni kudhibiti watu kuhamia vyama vingine uchaguzi unapokaribia.

Kwa kumbukumbu zangu, kuna mdau ambao mwanachama anatakiwa awe mwanachama wa chama husika Kama kigezo cha kuruhusiwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi mkuu.

Kama niko sahihi, minimum ni muda gani?

Je, Lissu na wenzake watasalimika iwapo hii sheria kweli ipo wakitaka kuhamia CHADEMA?

Japo Lissu kasema hahami CHADEMA, lakini tukumbuke Lissu aliwahi sema CHADEMA sio Mama yake akimanisha kuwa siku CHADEMA ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhamia Kama ambavyo Nyerere aliwahi sema kuhusu yeye kuondoa CCM
Chauma boss wao ni mvaa miwani mieusi.

Ni wale wale
 
Back
Top Bottom