Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wadau!
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sheria ya uchaguzi ilifanyiwa mabadiliko enzi za Mwendazake lengo ni kudhibiti watu kuhamia vyama vingine uchaguzi unapokaribia.
Kwa kumbukumbu zangu, kuna mdau ambao mwanachama anatakiwa awe mwanachama wa chama husika Kama kigezo cha kuruhusiwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi mkuu.
Kama sio sheria ya uchaguzi, basi itakuwa ni sheria ya vyama vya siasa but all in alll, kuliwahi kuwa na jambo la aina hii.
Kama niko sahihi, minimum ni muda gani?
Je, Lissu na wenzake watasalimika iwapo hii sheria kweli ipo wakitaka kuhama CHADEMA?
Japo Lissu kasema hahami CHADEMA, lakini tukumbuke Lissu aliwahi sema CHADEMA sio Mama yake akimanisha kuwa siku CHADEMA ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhamia Kama ambavyo Nyerere aliwahi sema kuhusu yeye kuondoa CCM
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sheria ya uchaguzi ilifanyiwa mabadiliko enzi za Mwendazake lengo ni kudhibiti watu kuhamia vyama vingine uchaguzi unapokaribia.
Kwa kumbukumbu zangu, kuna mdau ambao mwanachama anatakiwa awe mwanachama wa chama husika Kama kigezo cha kuruhusiwa kuwa mgombea kwenye uchaguzi mkuu.
Kama sio sheria ya uchaguzi, basi itakuwa ni sheria ya vyama vya siasa but all in alll, kuliwahi kuwa na jambo la aina hii.
Kama niko sahihi, minimum ni muda gani?
Je, Lissu na wenzake watasalimika iwapo hii sheria kweli ipo wakitaka kuhama CHADEMA?
Japo Lissu kasema hahami CHADEMA, lakini tukumbuke Lissu aliwahi sema CHADEMA sio Mama yake akimanisha kuwa siku CHADEMA ikiacha misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhamia Kama ambavyo Nyerere aliwahi sema kuhusu yeye kuondoa CCM