Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

huyo hasimamishi pipe au anademu mwingine, mi najua romance lazma ifuatiwe na mechi kali kama ya arsenal na bayan mwez ujao
 
Yani wewe badala tumalizane chumbani umeamua kuja kuniaibisha huku?sasa leo ntakugegeda usiku kucha.
 
Anasimamisha vizuri tu.


Wala sio shoga



Kukwepa uasherati haiwezekani labda basi asingenitongoza.

usiishi kimazoea na wala usiishi kwa vile fulani anaishi vile. Kila mtu ana utaratibu wake aliojiwekea na malengo aliyojipangia. Huwezi jua sababu hasa ya kutotaka kufanya. Na kuhusu kwenda kanisani si tija kwani matendo yako ndiyo yanayotabainisha tabia yako na si kwenda kanisani au kushinda msikitini. Kaa chini na mpenzi wako na kuongea naye kuhusu maisha yake ya nyuma. Unaweza ukakuta kuna kitu kilichojificha kinachopelekea yeye kuwa katika hali hiyo.

Kuhusu yeye kukutongoza ni sawa kwana hamuwezi kuoana bila kutongozana ladba muwe mumetafutiwa na wazazi.

Yawezaikawa jamaa anakuchunguza vitu fulani na wewe hujui hata hivyo usiendekeze zinaa!
 


Uzoefu wangu unaniambia! Wanaume wengi hatuowi wanawake tunaowapenda sana!

Huwa tunawaweka ndani wanawake ambao wamevumilia mengi wakiwa pamoja na ss, So kama shida yako ni kuolewa nae na umeridhika nae! kazana jiweke karibu zaidi, then mvumilie the rest hayakuhusu!
 
Siku hizi wapo wanaobadilisha jinsia, unaona jiume kumbe chini kuna tundu kule.. Sasa litatumika vipi wakati yeye na wewe wote electronegative
 
Ushauri wa kwanza nendeni mkapime then hayo mengine ndo yafwate
 
Huyo Jamaa daa, Yani nilivo na maugwadu hapa ningekufukunyua
 
Mchunguze vizuri unaweza kita jogoo hapandi mtungi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…