Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

Hiyo ni kolabo ya muhimu sana, kilele ni dakika ya 3 hadi ya 6 au 7 unakuwa umeshakipanda!

😂😂😂😂 nakusalimu ndugu yangu!

At top of the Mount Kilimanjaro, na barafu jeupe lazima lionekane.

-Kaveli-
 
Uwa ni kumnyegesha mwanamke kama wao wanavyosuck dick hakuna wanachopata zaidi ya kutunyegesha tu...
 
stunter yuko wapi
Stunter yupo bhana si unajua maisha yamekuwa kama yanatunyoosha? ndio nimekuja kuangalia huku bado kama wadau mpo na yeye atakuja soon.

kuna ishu imembana tu ila yuko gado kabisa

wewe hujambo lakini?
 
Hatutegemei kupata kinywaj ila inatuongea mzuka mwanamke anapojinyonga nyonga ukimnyonya ziwa. Hasa Kama unajua kulitumia thiwaa.
 
Mtoa post inaonyesha ni mwanamke hats mwanaume akishikwa kende mda mlefu hujisikia maumivu
 
Tunapata, tena huwa tunapata vingi, wakati ulimi ukiwa unafanya utalii kwenye hivyo "vilele" viwili kile kidole maarufu nacho huwa kinafanya ziara za kushtukiza kule maeneo ya pori tengefu, kwa ushirikiano wa hizo sekta mbili mtambuka basi utasisimua na kuinua uchumi wa nchi na mara moja mtajikuta mpo kwenye uchumi wa kati tena wa juu mkifaidi matunda ya utalii na ziara za kushtukiza.

Kwa kauli moja tunasema zoezi hili liwe endelevu kwa mustakabali mzuri wa ustawi wa uchumi wetu.

Mh spika, naomba kuwasilisha.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Matiti yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi yanakuwa mekundu mpaka unahisi maumivu hata watoto sidhani kama wananyonyaga mpaka wanawaumiza mama zao.

Hivi mnapata nini kwenye matiti ambayo hata hayatoi maziwa?


Kipo wanachokipata😂😂😂😂😂
 
Tunapata, tena huwa tunapata vingi, wakati ulimi ukiwa unafanya utalii kwenye hivyo "vilele" viwili kile kidole maarufu nacho huwa kinafanya ziara za kushtukiza kule maeneo ya pori tengefu, kwa ushirikiano wa hizo sekta mbili mtambuka basi utasisimua na kuinua uchumi wa nchi na mara moja mtajikuta mpo kwenye uchumi wa kati tena wa juu mkifaidi matunda ya utalii na ziara za kushtukiza.

Kwa kauli moja tunasema zoezi hili liwe endelevu kwa mustakabali mzuri wa ustawi wa uchumi wetu.

Mh spika, naomba kuwasilisha.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kumbe una akili mbovu sana bora hata mimi 😂😂😀
 
Wazee wa MMU katika ubora wenu nawaona[emoji1][emoji1][emoji1]
#Singapore[emoji630]
 
Hivi kumbe una akili mbovu sana bora hata mimi [emoji23][emoji23][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha basi cheif, nimejaribu kuona kama fasihi ya miaka bado ipo au laah, ila sikushindi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom