Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

we nae umo
eti ukiwa msiri?siyo msiri tu na pesa muamala usome,siyo kusumbuana pm muamala hakuna mkiambia laki 2 unakimbia

Nimo kwa mahondaw wangu tuu...

Japo maisha siyo kutesa kila siku pesa ndiyo kila kitu...

Ukiona mwanaume anakusumbua sana umkubalie ujue hana cha kukupa zaidi ya sehemu zake... pesa haina maneno mengi...


Cc: mahondaw
 
we nae umo
eti ukiwa msiri?siyo msiri tu na pesa muamala usome,siyo kusumbuana pm muamala hakuna mkiambia laki 2 unakimbia
Shikamoo. Kama hujui kutumia hela hata urafiki unakua wa mashaka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom