Kama mie jamaani lol.hihihiiiii yaani nimecheka
Umewahi siti tena?Ngoja niwahi siti hapa.
Ila angalia mkuu wasije kukuita wa Dar tu.
we nae umo
eti ukiwa msiri?siyo msiri tu na pesa muamala usome,siyo kusumbuana pm muamala hakuna mkiambia laki 2 unakimbia
Kama ni hivyo basi sawa mkuu.mkuu nataka akinikubali utaratibu mwingine uendelee.
amina.
Dah mkuu unapitia nayo yapitia mie humu,nilishawahi kujibiwa hovyo na MTU humu dah,sisahaunilishamuomba mmoja alinishushua wiki mbili nikapotea jukwaani.
nikiingia naona aibu hata kucomment.
Acha uchokoziHahaha haijalishi lakin kama inampatia hitaji lake...hyo hyo akikutana na mwanamke alieko desperate kama yule g wa jana hata atongozwe kibabu anaingia kingi tu[emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Wape wape wape.Niamini mimi hao wanajitapaga huku wanatukula utakuta hajawahi kumiliki hata namba ya simu ya mdada yeyote wa JF wanajishauaga tu
Shikamoo. Kama hujui kutumia hela hata urafiki unakua wa mashaka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we nae umo
eti ukiwa msiri?siyo msiri tu na pesa muamala usome,siyo kusumbuana pm muamala hakuna mkiambia laki 2 unakimbia
khakhaakhaaa.. kikiwa kidogo kiharage.... kubwa je...,??! Kuna waliobarikiwa ujue tehtehteh. pamoja sana smart wamimi nimekusomaaaaaa
Niceno kama kuna post nataka aisome namtag ila mazoea jukwaani hakuna
Kwani kuingia tunduni alikufundisha nani?jitahidi muwe na mikato ya kisasapls sasa kama tushazeeka tifanyeje?
ndiyo tunataka mtufundishe ya ujana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol.hihihi.... unasemea HARAGE lipi hilo smart wangu lakini...!!!???
Kumbuka hii ni jamii. Na kwenye jamii kuna mambo mengiHahahaaa. Wape wape wape.
Umejua kuwaza mbali na hata wale wanaotuponda pia huenda hawajui hata wadada wa jf wanafananaje. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mmh unataka kunitoa Muhanga hata Mimi rafiki yako kweli!!Umewahi siti tena?
Hebu tutetee rafiki. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Eeh vibaya hivo jamani msitufanyie hivyo vijana wenzenu,Hahahaaa. Wape wape wape.
Umejua kuwaza mbali na hata wale wanaotuponda pia huenda hawajui hata wadada wa jf wanafananaje. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh unataka kunitoa Muhanga hata Mimi rafiki yako kweli!!
Ulijibiwa nini?Dah mkuu unapitia nayo yapitia mie humu,nilishawahi kujibiwa hovyo na MTU humu dah,sisahau