g lazima yamkute na jana kuna watu walimkesesha pm,fisi pale wametamua midomo yao,ndo maana hata pm zetu wadada alikuwa hajibu namuangalia tu gireHahaha haijalishi lakin kama inampatia hitaji lake...hyo hyo akikutana na mwanamke alieko desperate kama yule g wa jana hata atongozwe kibabu anaingia kingi tu[emoji23] [emoji23]
Wanaongelea wadada wa mtaani kwao hukoHahahaaa. Wape wape wape.
Umejua kuwaza mbali na hata wale wanaotuponda pia huenda hawajui hata wadada wa jf wanafananaje. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
naona zama hizi ndoa za vijana zimezidi kuongezekaunalichukulia kawaida eeeh.... huoni vijana siku hizi hawaoi
Hahahaaa. Lol.Eeh vibaya hivo jamani msitufanyie hivyo vijana wenzenu,
mungu katupa tubadirishane😎😎
Hahahahaha......hakika siku ya hukumu wengi tutachomwa moto kwa hii dhambi ya kupenda penda hela.. make imeandikwa hata katika biblia Waebrania 13:5
"MSIWE NA TABIA YA KUPENDA FEDHA; MWE RADHI NA VITU MLIVYO NAVYO ;KWAKUA YEYE MWENYEWE AMESEMA SITAKUPUNGUKIA KABISA WALA SITAKUACHA KABISA"
- ila Kuna wanaume wamejaaliwa jamani watu vismart siooo vya nchi hiiiiii.. pesa ipoooooo mambo anayawezaaaaa basi inakua hatareeeeeeeeeeeee hahaha nacheka kama mazuri vileeee
Papa mkubwa huitwa papa... papa mdogo huitwaje...
Hiki ndo kipindi wanampa pole na kumwaga sera zao at the same time. Akidanganyika tu akamkubali mtu atalia tenag lazima yamkute na jana kuna watu walimkesesha pm,fisi pale wametamua midomo yao,ndo maana hata pm zetu wadada alikuwa hajibu namuangalia tu gire
sio vizuri kucheka wakati wenzako tunapitia magumu hapa...[emoji20][emoji20]hihihiiiii yaani nimecheka
mmmh utanitetea nikianza kurushiwa maweMmh usiogope funguka tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, kuna ID nyingine ndo kwanza leo naziona humu, ngoja tuendelee.
Hahahahaha..
hivi hakuna wanaume maharage ya mbeya?? ahahaha
hahaha kulia tena!!!!duuh... kumbe kuna wanaolia!
wacha leo nijilize nione... sasa unaliaje yaani mwanamme?
Ina maana mpaka sasa hujawakula japo wadada 30 wa JF?wakuu kwema....
Naomba kuuliza tu... hawa wanawake kila siku mnasema maharage ya mbeya nyie mnawapataje!
tupeni mbinu wenzenu tumechoka kupigwa vya mbavu. au utongozaji unanipoza sijui kutongoza?
Wengi pm wamefunga kabisa... ukisema uqoute jukwaani unaweza kujibiwa vibaya ukaabika mbele ya wadogo zako.
tupeane uzoefu mafundi. nawaaminia.
eti maharage ya Mbeya kuna vijimisemo humuKama mie jamaani lol.
Na wewe mdogo wangu umekubaliana naye eti?