nitakua msaidizi wakoUnda kamati ikusaidie....Mimi najitolea kuwa mjumbe
kwa hiyo mahondaw unataka kusema smart pesa ipo na kazi anaiweza?haya ndugu wajumbe wamesikia watalifanyia kaziHahahahaha......hakika siku ya hukumu wengi tutachomwa moto kwa hii dhambi ya kupenda penda hela.. make imeandikwa hata katika biblia Waebrania 13:5
"MSIWE NA TABIA YA KUPENDA FEDHA; MWE RADHI NA VITU MLIVYO NAVYO ;KWAKUA YEYE MWENYEWE AMESEMA SITAKUPUNGUKIA KABISA WALA SITAKUACHA KABISA"
- ila Kuna wanaume wamejaaliwa jamani watu vismart siooo vya nchi hiiiiii.. pesa ipoooooo mambo anayawezaaaaa basi inakua hatareeeeeeeeeeeee hahaha nacheka kama mazuri vileeee
hahaha Tanga waja leo waondoka keshoIla watoto wa Tanga wanajua mapenzi bwana.
kipindi hicho nilikuwa natembezwa majani mapana hadi mikanjuni kwa miguu kwenda na kurudi.
sauti zao tu... unajikuta umesahau Agricu ya mshana.
pole jamani halafu wewe mtu wewee[emoji35][emoji35]sio vizuri kucheka wakati wenzako tunapitia magumu hapa...[emoji20][emoji20]
Mwanaume ni ndizi ya bukoba... mwanamke ni harage la mbeya...
Yaani we acha tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaha tanga oyeeeee@hajar@mzigua90@shuniehahaha Tanga waja leo waondoka kesho
Babu acha kumfundisha tabia mbaya mwenzioIna maana mpaka sasa hujawakula japo wadada 30 wa JF?
Basi wewe utakuwa mzembe kama mainjinia walioshindwa kuiamsha bombadia iliyolala...
We sema tu, mi naanza kuinua vyuma hapa, nitakuwa bodyguard wako.mmmh utanitetea nikianza kurushiwa mawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo mahondaw unataka kusema smart pesa ipo na kazi anaiweza?haya ndugu wajumbe wamesikia watalifanyia kazi
Oyeeeeehahaha tanga oyeeeee@hajar@mzigua90@shunie
halafu weweee hunitakii mema nakwambiaWe sema tu, mi naanza kuinua vyuma hapa, nitakuwa bodyguard wako.
Tabia mbaya ipi?Babu acha kumfundisha tabia mbaya mwenzio
[emoji23][emoji23][emoji23]nilishamuomba mmoja alinishushua wiki mbili nikapotea jukwaani.
nikiingia naona aibu hata kucomment.
Ndio kwani nimeongopa rafiki!?Hahahaaa. Lol.
Hebu niache rafiki. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Eti tumepewa tubadilishane lol.
[emoji23][emoji23][emoji23] acha bwana...wewe unasema changamsha genge ila amini asilimia 90 za uzi na wanaoitana bae,honey wanakulana wale wahuni ndo wanadai kuwa oo mahusiano yetu yasiharibu ushirika wetu jf,asilimia 90 ya wanaoandika na kuitana wapenzi humu wanakulana,mie nlikuwa namtania mmoja kuwa nitampindua wee demu akanjia pm,toka hapo nikasema naheshimu wanaoitana darling whatever we unasema utani kumbe wanakulana halafu unasababisha mtu apate ugonjwa wa moyo anajenga chuki,
mchokonoe shunie alikoOyeeeee
Hiyo ya kula kula hovyoTabia mbaya ipi?
Atakua anahudumia ndoa saa hizi [emoji23][emoji23]mchokonoe shunie aliko