Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

hahaha
 
sasa tunaosema kweli si mtuonee huruma... au hadi tulie kama nilivyoshauriwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha izo mkuu...

Unajua kutongoza tunatongoza ila tatizo ni kujifanya watakatifu..... Na kujaribu kuwatupia ilo zigo watu fulan !! .

Msema kweli ni gazeti ..hiv lilifungiwaga au lipo??
vipi kwani kuna mtu kaibiwa?
 
Sometimes don't hunts what you can't kill. Mimi nilikua natongoza wanawake ambao si level zangu kati ya 20 naweza pata mmoja but once nilianza hawa level zangu sioni shida tena.
 
Mmoja tulichat akaja kazini nikampeleka home tukawa tunapiga story sasa nikawa nimesahau album kizembe akaipekua lol!
Nikaachwa na minyege yangu
 
Sometimes don't hunts what you can't kill. Mimi nilikua natongoza wanawake ambao si level zangu kati ya 20 naweza pata mmoja but once nilianza hawa level zangu sioni shida tena.
kwa hiyo nacheza ligi isiyo yangu eewh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…