Toka uzaliwe kutembea na wanawake 20 mbona ndogo sanaa!!.. Ila kunambia kuwa na uhusiano na wanawake 20 kwa wakati mmoja nitakubishia, lazima uchanganyikiwe!.Kama kuna rafiki yako wa kiume anayekuamini, Muulize hivi, "Tangu amebalehe mpaka leo, Ameshaangua machenza na machungwa mangapi?!!
20 ni wadogo sana kwa dume, Umeme unauogopa sana ehe!?
Mwenyekiti umechelewa...kamati kavunja muhusika...amekuja kunitonya na jina lako tu...kumbe ww ndio "subject" mwenyewe, nakuvua ujumbe kuanzia ss.
Kama wa mikoani tutasubiri sana, Basi wa Dodoma wataendelea kuyaangua na hatutakuta hata machanga, Hivyo huoni kuwa tulala njaa sana mkuu?!!Wa mikoani tusubiri sana
Roho imeniuma mimi aty!..Hanitaki [emoji21][emoji21]
[emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]Roho imeniuma mimi aty!..
mchagua jembe si mkulima!!.[emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]
Usawa huu laki 2 si jambo la kitoto,muda mwingine muwe mnaangalia na hiki tulichopo,vyuma mamawe nae umo
eti ukiwa msiri?siyo msiri tu na pesa muamala usome,siyo kusumbuana pm muamala hakuna mkiambia laki 2 unakimbia
Siyo kuwa na wanawake 20 kwa wakati mmoja, Isipokuwa ni wanawake 10-20 kwa mwezi, Mnamalizana kila mmoja anakula 50 zake. Sikai na jike, Namaliza yangu na kazi inaishia hapo hapo.Toka uzaliwe kutembea na wanawake 20 mbona ndogo sanaa!!.. Ila kunambia kuwa na uhusiano na wanawake 20 kwa wakati mmoja nitakubishia, lazima uchanganyikiwe!.
aahh hongera yenu wazee wa 10 kwa mwezi!. sms niliyopata inabidi nikae upande wa daby tu! jamani wanaume wenzetu msiwe malaya!! [emoji23]πSiyo kuwa na wanawake 20 kwa wakati mmoja, Isipokuwa ni wanawake 10-20 kwa mwezi, Mnamalizana kila mmoja anakula 50 zake. Sikai na jike, Namaliza yangu na kazi inaishia hapo hapo.
tumejitahidi kwakweli.....natumaini tutapata matokeo mazuri ssMwenyekiti umechelewa...kamati kavunja muhusika...
Tumejitahidi lakini kumjali
Wengine ukigoma kuwashughulikia wanakuita hanithi. Sikuwapa show mabinti wanne wakaniita hanithi.aahh hongera yenu wazee wa 10 kwa mwezi!. sms niliyopata inabidi nikae upande wa daby tu! jamani wanaume wenzetu msiwe malaya!! [emoji23]π
hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwenye kuongea ndo wengi tunafeli,mimi bora uwe karibu yataisha uwe mbali simu hupokei msg hujibu naweza kukutumia virus wakumeze
Fungua id nyingine jisifieeeee kama jinga moja hivi.
Ukitoka hapo fungua id nyingine jitongoze na declare unaipenda id yako inayojulikana na wengi kama jinga moja hivi.
Kisha jifanye unajua kila kitu umeishi na viongozi wengi kama jinga moja hivi.
La mwisho usisahau kutembea na ilani popote ulipo kama jinga moja hivi.
Hili jina sip geni sana humu. Ngoja na mimi. Nitumie ilani ya rasi simba... Kwa InnaSio Inna.
Mtoto mmoja nilimuanza kama utani tu. Kumbe bikra.
Mwingine aliniuzia jiko la gesi , nilikuwa namnunulia kimada . mwisho wa siku akatoa na papuchi.
Usiende pm kwa ajili ya kutongoza.
Unaenda kwa mengine.
Au jifsnye unatoa ushauri
Anajichekesha sanaKucheka cheka kupungue ukiwa kwenye mtongozo
We mwenyewe nilikuacha tu basNdio zeako kumbe
Bora umerudii tuleteee stry basi jj hajaibiwa kweli na mabazazi jumu?Daby ma nigguh