Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

mkuu nataka akinikubali utaratibu mwingine uendelee.

amina.
 
akaa nafikiri watakuwa wameshafika pm loo,ila napitia mitongozo ya pm nacheka sana kuna watu wana mitongozo ya kizee ha ha ha ha ha ha
Hahaha haijalishi lakin kama inampatia hitaji lake...hyo hyo akikutana na mwanamke alieko desperate kama yule g wa jana hata atongozwe kibabu anaingia kingi tu[emoji23] [emoji23]
 
Mleta Mada tuko pamoja ktk hili ,mie nishapigwa vya mbavu mpk najionea huruma
 
no kama kuna post nataka aisome namtag ila mazoea jukwaani hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…