Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Kwahiyo unataka upewe mbinu ili ufanikiwe kufanya ZINAA?? Mkuu Daby ikimbie ZINAA, kila dhambi afanyayo Mwanadamu ni nje ya mwili wake, lakini yeye afanyaye zinaa anatenda dhambi ndani ya mwili wake. Mwili wako ni "hekalu" la Roho wa MUNGU, kila aliharibuye "hekalu" hili na yeye ataharibiwa pia.

Mwenye masikio na asikie!
mkuu nataka akinikubali utaratibu mwingine uendelee.

amina.
 
akaa nafikiri watakuwa wameshafika pm loo,ila napitia mitongozo ya pm nacheka sana kuna watu wana mitongozo ya kizee ha ha ha ha ha ha
Hahaha haijalishi lakin kama inampatia hitaji lake...hyo hyo akikutana na mwanamke alieko desperate kama yule g wa jana hata atongozwe kibabu anaingia kingi tu[emoji23] [emoji23]
 
wakuu kwema....

Naomba kuuliza tu... hawa wanawake kila siku mnasema maharage ya mbeya nyie mnawapataje!

tupeni mbinu wenzenu tumechoka kupigwa vya mbavu. au utongozaji unanipoza sijui kutongoza?

Wengi pm wamefunga kabisa... ukisema uqoute jukwaani unaweza kujibiwa vibaya ukaabika mbele ya wadogo zako.

tupeane uzoefu mafundi. nawaaminia.
Mleta Mada tuko pamoja ktk hili ,mie nishapigwa vya mbavu mpk najionea huruma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dada mbaya wewe. Kwahiyo ukaniacha nichit chat na shemeji hata kunishtua jamani. Sasa wengine wanaweza mchukia mtu akiona hivyo ila mtu muelewa unaona aaah waache wachangamshe jukwaa tu. Hadharani unazuga ila wa ukweli hutaki hata akuquote watu wasimuone
no kama kuna post nataka aisome namtag ila mazoea jukwaani hakuna
 
Back
Top Bottom