Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

shoga usitoke nje ya mstari,kizuri kula na nduguzo,watu wameshaupdate mafile



Hahahahah....unakula watu amu?? Smart911 masikini kabisaaa mbwa kachokaaaaa Sema ana kismart sio cha nchi hii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wacheka tena, wakati ushakatazwa kucheka wenzako wakiwa wanataabika.
 
Miller hujamsoma kritika hana bwana,kakosa upendo madavdav basi ila akimpata mtamsahau humu,kwanza mzuri sana umecheki liavatar lake?
nikupe siri, wanaume hatupendi mwanamke mwenye maneno mengi na kuongea sana...hata awe mzuri zaidi ya malaika,

hawa waongeaji wa kawaida tu wanatutoa jasho ss akiwa wa type yake si hatari
 
Ukitaka kuwapata wewe sema umecheza Tatu mzuka umepata ml 220 ..wata kuja wenyewe
 
Kama Mwanamke unamtongoza Saa 3 na dakika 7 asubuhi kisha Saa 4 na dakika 15 asubuhi hiyo hiyo anakuambia yupo ' Daladalani ' anakuja na Saa 5 na dakika 3 asubuhi hiyo hiyo ' Mbunye ' yake unakuwa nayo Kitandani mwako ' Ghetoni ' ukitiririka na kuserereka nayo, huyo ukumuita Maharage ya Mbeya utakuwa na ' dhambi ' iliyotukuka kwa Maulana?
Mkuu umebadilisha font, ilikuwa inanipa shida sana kusoma nyuzi zako, nilikuwa nazipotezea
 
Back
Top Bottom