amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
kumbe unae wako halafu unanizuga ndo tabia yako eeHapana..Acha tu,siwezi weka hapa,cz bado nampenda ,namsoma tu humu/hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe unae wako halafu unanizuga ndo tabia yako eeHapana..Acha tu,siwezi weka hapa,cz bado nampenda ,namsoma tu humu/hapa
Kuna ukweli hapo...tunapishana sana...Shukrani Daby kwa kutukutanishaHata Mimi nashangaa sijui unakuwaga wapi hata nisikuone.
hahaha ngoja aje amleteNdio maana nikaogopa kutaja jina...yeyote Asprin atakayependa kumleta...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huyu ndio atamfundisha Daby haswa...
Hapana kwa kweli Shem, sisi hatuna maharage kabisaa.
shoga usitoke nje ya mstari,kizuri kula na nduguzo,watu wameshaupdate mafile
Miller hujamsoma kritika hana bwana,kakosa upendo madavdav basi ila akimpata mtamsahau humu,kwanza mzuri sana umecheki liavatar lake?mmh! yani hamumpendi Daby kiasi hicho au ni vipi![emoji23][emoji23][emoji134][emoji134]
Sasa wacheka tena, wakati ushakatazwa kucheka wenzako wakiwa wanataabika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumeumbwa mateso mkuu.acha kabisa chief....tunapata tabu sana wanaume, ila tunajua kuvumilia tu.
nikupe siri, wanaume hatupendi mwanamke mwenye maneno mengi na kuongea sana...hata awe mzuri zaidi ya malaika,Miller hujamsoma kritika hana bwana,kakosa upendo madavdav basi ila akimpata mtamsahau humu,kwanza mzuri sana umecheki liavatar lake?
Pole Daby,ndio uanaume huo...usicheke... tunapitia magumu ukhuty.
Nimekuzuga wapi? Mie muwazi na mkweli sina MTU ,nilishakataliwa muda tu,now nauguza machungukumbe unae wako halafu unanizuga ndo tabia yako ee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mzee wa fursaMkuu nina dawa ya kumvuta mwanamke yeyote umpendae na akaja mwenyewe hadi geto kwako.
Tuma Tsh 100,000 kwanza ndio tuingie kwenye maongezi
Kabisaa Ashukuriwe Daby, karibu.Kuna ukweli hapo...tunapishana sana...Shukrani Daby kwa kutukutanisha
Kumbe ndo yeye avatar?Miller hujamsoma kritika hana bwana,kakosa upendo madavdav basi ila akimpata mtamsahau humu,kwanza mzuri sana umecheki liavatar lake?
Mkuu umebadilisha font, ilikuwa inanipa shida sana kusoma nyuzi zako, nilikuwa nazipotezeaKama Mwanamke unamtongoza Saa 3 na dakika 7 asubuhi kisha Saa 4 na dakika 15 asubuhi hiyo hiyo anakuambia yupo ' Daladalani ' anakuja na Saa 5 na dakika 3 asubuhi hiyo hiyo ' Mbunye ' yake unakuwa nayo Kitandani mwako ' Ghetoni ' ukitiririka na kuserereka nayo, huyo ukumuita Maharage ya Mbeya utakuwa na ' dhambi ' iliyotukuka kwa Maulana?