Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

dawa ishatajwa ila haina dose bhana.... pitia pitia katikati utaiona.
Hii tred yako imekimbia sanaa mkuu, had naona uvivu kuipekua yote,
Nimegee hapo dawa kidogo dozi ntajipangia mwenyewe.
 
Wanawake kinachowaponza sometimes ni huruma kubwa waliyopewa na Mungu.
Mwanaume akizuga kujiliza tu baasi kadada ka watu kanapanua miguu
😀😀
Mbona mimi hua sihurumiwi na wote wanasema mimi HB
 
Hii tred yako imekimbia sanaa mkuu, had naona uvivu kuipekua yote,
Nimegee hapo dawa kidogo dozi ntajipangia mwenyewe.
unafikiri kuna dawa basii... wanasema hatujui kutongoza na tuna mikato ya kizee.
 
haha...mkuu dunia inasogea...

Kila rika na vumi zake.

sasa hivi ni wakati wa member wa 2017.
Dah!.. Labda wanakuona mzee kwa uelewa wangu hata wale madada wa kipindi hicho wamerudi na new ID kuonekana fresh!. Labda jaribu na wewe might work😀
 
Back
Top Bottom