Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Wanawake wana fail sana kwenye ku demand equal rights na kukataa equal responsibilities. Wanashindwa kutambua kwamba haki huja baada ya wajibu Na hii inatokana na kuwa brainwashed na mashirika na wanaharakati wapumbavu wanaodhani haki sawa ni kumpandisha mwanamke na kumshusha mwanaume. Kuna hawa ambao wengine wanajiita superwomen wapumbavu kabisaaaa
Ninyi ndiyo hamtaki hizo equal responsibilities
 
em yataje majukumu ya kike ambayo mwanaume inabidi afanye

Majukumu ya mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na ya mwanamke ni kufanya kazi za ndani na kulea mume na watoto sasa leo hii wanaume mnataka wanawake tuingilie majukumu yenu ila ninyi hamtaki kuingilia majukumu yetu
 
Mwanaume yeyote mwenye familia anatakiwa atimize majukumu yake hata akiwa shoga
Nyie mnachagua ma hesam majukum ya kiume watayatimizaje na u hesam wao?
 
Kwani kuna ubaya gani kumshirikisha mke wako?? Kwani haujui kuwa mke ndiyo mshauri namba moja wa mume?? Kama haujui nafasi ya mkeo kwako basi usioe tu kama umeoa basi nampa pole mkeo
Usawa ni pale mnapotaka wanaume tusifanye maamuzi yeyote nyumbani mpaka tuwashirikishe yaani hata mshahara wangu unataka unipangie tuutumiaje hapo ndio mnapotuchosha
 
Sasa ndiyo kwanini msituhurumie??
Mnapenda usawa kwenye kila kitu...

Kitu ambacho hakiwezekani kua na usawa wa 50/50 kati ya mwanamke na mwanaume..

Ili mwanamke aende sawa na mwanaume inampasa mwanaume amuhurumie mwanamke kwenye mambo mengi sana...


Cc: mahondaw
 
Huruma wao wanaona ndio haki yao.
Yaani Hawa wa hivi ndio mama wa mabinti watakaokuwa wake za watu miaka ijayo.
Nawaonea huruma Sana waoaji wa miaka hiyo
Lakini hata tukitumia akili tu ya kawaida ninyi hamuoni kama mnawabebesha mizigo wanawake??
 
Nahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya

Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH![emoji17][emoji17]

Kwanini tuhitaji kuwezeshwa wakati tuko na mikono na miguu miwili mixer ubongo kama wanaume
Agiza pombe kali san itakayokufny uwepo kitndn cku mbil ila ujilipie
 
Hayo uliyoyataja juu ni matokeo ya wanaume kutaka wanawake wawasaidie majukumu yenu hivyo na wao wanaona ni haki yao muwasaidie majukumu yenu na ni ndoa nyingi siku hizi wote mwanaume na mwanamke wanatafuta pesa na wanahudumia familia wote wanaenda kazini asubuhi wanarudi usiku sasa unategemea huyo mwanamke anapata wapi huo muda wa kufanya hizo kazi?? Kama hamuwezi tafuteni housegirl au houseboy!!
Wanawake wengi wa leo wanapemda usawa hasa katika mambo ya ndani...
*kuna baadhi ya wanawake huweza kuwapangia wanaume majukumu kwa mfano, wanawake wengine wanathubutu kumwambia mumewe." leo ni zamu yako ya kumuogesha mtoto.."
* Usishangae mwanamke kumwambia mumewe mmoja apike ugali mwangine apike mboga.
*mmoja aoshe vyombo mwingine apike
* mwanamke anapanga yeye afue, mume atapiga pasi.
* wanawake wa leo wanataka wakorome ndani, mume awe anapikea maagizo tu
Mwanamke anataka akitenga chakula kikishaliwa, mume atoe vyombo...
******wanawake wa leo kwenye tendo wanataka wakae juu, sisi tukae chini..[emoji43][emoji43][emoji43]....binafsi napenda kukaa chini, yeye aje juu..[emoji85][emoji85][emoji85][emoji87][emoji87]

Kwa misingi ya kiafrika, hayo mambo niliyoyaeleza mume anaweza kufanya kama sehemu ya mapezi kwa mkewe, ila kuna wanawake wwngine wanakaza sauti na kugawanya majukumu hayo kwa mumewe..

######Jukumu kuu la mume ni kumoenda mke, watoto na kutimiza mahitaji ya familia mf chakula, kodi, ada n.k...
######Jukumu la mke ni kuhakikisha familia inanufaika kutokana na kile baba aliyokileta, kumsaidia baba kazi kama kufua, kupiga pasi, kupika,nk ili baba awe na muda mzuri wa kutafuta kwa ajili ya familia.

Yaani wanawake wamekuwa wakitaka usawa wa 50/50 lakini cha ajabu mwizi akinyata huko nje usiku, utasikia "baba fulani we ndiyo mwanaume, toka kamfukuze mwizi"

Tunaomba na hapa pia mtusaidie ili 50/50 ifanye kazi vizuri.
 
em yataje majukumu ya kike ambayo mwanaume inabidi afanye
Ukitoa majukumu yetu ya kubeba mimba kuzaa na kunyonyesha je na majukumu yetu mengine nayo hamyawezi??
 
Habari za usiku huu wana JF?

Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.

Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?

Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?

Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Mbavu moja ya kushoto kutoka kwa mwanaume haiwez kua sawa na mbavu zilizobaki....

Wanawake muwe wapole, kwanza nyie ni option baada ya kuonekana mwanaume yuko mpweke

So jukumu la msingi la mwanamke to make sure mwanaume hayuko bored period.
 
Sasa ndiyo kwanini msituhurumie??

Mbona tunawahurumia sana... mambo mengine tunawapitisha au kuwapatia bila vikwazo...

Ila ndiyo hamuachi kusema what a man can do a woman can do better wakati in reality tunawahurumia...


Cc: mahondaw
 
Kwani kuna ubaya gani kumshirikisha mke wako?? Kwani haujui kuwa mke ndiyo mshauri namba moja wa mume?? Kama haujui nafasi ya mkeo kwako basi usioe tu kama umeoa basi nampa pole mkeo

Hivi sifanyi?
 
Habari za usiku huu wana JF?

Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.

Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?

Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?

Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
KUTAKA KUKITWAA KITI CHA ENZI CHA MUME.
 
Habari za usiku huu wana JF?

Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.

Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?

Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?

Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
Mwenye ndoa ni mwanamume, mwanamke umeletwa ndani kumsaidia mume baadhi ya maeneo. Ni ukweli ambao wanawake wa siku hizi umeukiuka, mkijifanya much know. Mumeo akivutiwa na vya nje maana yake kuna mambo ndani hayajakaa sawa, imekupasa kujitazama na kurekebisha hapo, sio kuleta ushindani. Ndivyo ilivyokuwa tokea awali, pale wanawake walipotambua nafasi ya mwanamume kwenye ndoa.

Umewahi kusikia msemo mwanamke moumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe? Basi ni kwa ujuaji wa kijinga, kujifanya kupambana na mumeme ndani ya ndoa. Asikudanganye mtu, ndoa ya kweli haina haki sawa, anayetoa mahari ndio mwenye ndoa yake.
 
Back
Top Bottom